Mtaa · Dar es Salaam
Biashara za Mbezi juu
Canal Plus ni kingamuzi kinachokuwezesha kuangalia mpira wa miguu na michezo mingine mingi ya kimataifa kwa malipo nafuu ukilinganisha na visimbuzi vingine. Kwa tsh. 100k tu unapata decorder na kwa 130k unapata decorder na kifurushi cha mwezi (cha 45k)
magaliousyirene@gmail.com
Bakery
perfume za kupima na mayai ya kienyeji
WAPENDWA Karibuni luxxury_scents kwa mahitaji ya parfumes for ladies& gentlemen perfume zetu ni High-Quality Long lasting OIL BASED PERFUMES that will absolutely meet your expectations zinanukia vizuri sana for 78hrs 50ml =35000 30ml =25000 15ml=15000
Used Electronics
Vinywaji chakula na burudani. karibu macarena bar Lounge mbezi beach 76 ally sykes road kwa huduma Bora za vinywaji na chakula bila kusahau mziki mzri kutoka kwa ma dj premier
Bidhaa mbali mbali za majumbani bidhaa za urembo na nguo za ndani
augustinonmare@gmail.com
Kampuni inahusika na usambazaji na ufungaji wa mifumo ya ulinzi kama , cctv camera , electric fence , gate motor , intruder alarm fire alar n.k
kuuza nguo za kike ( Offsholder tops and dresses)
Tunauza viwanja , mashamba , nyumba na apartment
Bazed Feeds ni wauzaji na wasambazaji wa vyakula vya mifugo kama kuku,mbwa,ngombe Tunatoa huduma zifutazo, Pumba za mahindi jumla na rejareja, Paraza, Chokaa, Starter, Layers Mash, Growers, Finisher, Uduv, Soya, Mashudu, Dagaaa na vumbi la dagaaa, Power Dog , Chicken Feeders and Drikers
kutengeneza furniture/ kuuza /kurper nakudizain pia tunapokea order
Tunauza vitu vya aina zotee vinavohusu wanawake kama pochi, perfume,wallets,underwears, jewells na vingine vingi na kwa wanaume tuna perfume zote za kiume.
Tunatoa huduma ya ukumbi wa kisasa kabisa uitwao BRIGHTSTONE HALL tunatoa huduma zote za chakula mapambo na vinywaji mawasiliano 0656349292 au 0679971920. Bei zetu poa kabisa karibuni sana tuwahudumie huduma zetu zipo poa kabisa mnakaribishwa sana
Anandi ni wauzaji maarufu wa sausage tamu kutoka Peramiho Songea. Tunapatikana Dsm Mbezi beach tunauza jumla na rejareja kwa wateja wa Dar tunafanya delivery lakini mikoani pia tunatuma na hata nchi za nje tunakufikishia mzigo karibuni sana sana Anandi.
Tunauza product za afya na urembo kwa wale wanaohitaji kupunguza uzito bila stress na diet hapa ndo mahali pake, product zetu zimepitishwa na TFDA hivo ziko salama kwa matumizi,kwa wenye presha,sukari,kukosa usingizi tuko hapa kukusaidia. Pia heshima ya n
Jipatie milango imara mbao mninga mkongo , kitchen cabinets, dinning table,tv showcase, coffee table.nk.tupo mbezi beach kwa komba mkabala na radi service.0652467412/0788954057..
kuuza samaki wa mwanza Jumla na rejareja
Upakaji wa rangi nyumba na finishing za aina mbalimbali
FEMI CARE: Uhusisha Seli kwa madini kutoka maliasili pamoja na OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za uchimbaji wa kiikolojia , madini machache yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA, na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and vegatable antioxidative element. Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka mia moja. INAHUSIKA: 1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi. 2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho 3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywere hasa sehemu za siri, vidudu kwenye mirija kama utumbo, Vidudu vinavyo sambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri 4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi 5. Husaidia kuhuisha Seli. Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia mfurulizo siku 7. VIAMBATA: Feminine shafishio, ina aina tatu za viambata vikuu: Rejuvenating mineral elements kutoka kwenye vianzo vya asili
Weneat_clothing wauzaji wa mashati makali ya mtumba grade1 high quality shirts for only 15k. Delivery inafanyika popote.
Ninahusika na kutengeneza fresh flowers kama vile gifts na parkege za aina zote kwa ubunifu wa Hali ya juu pia natengeneza mashada ya misiba ya flowers kwa bei poa kabisa pia napamba picha za wapendwa wetu wanaotangulia kutokana na size unayotaka ninatumia fresh flowers na natengeneza maua ya bibi h
Ni watengenezaji na wauzaji wa unga bora wa lishe kwa watoto, wajawazito, wamama wanaonyonyesha, wazee, wasio na hamu ya kula n.k, unga huu ni mchanganyiko wa mahindi lishe, viazi lishe, mchicha, karoti, mbegu za maboga, na ngano upo wa ladha mbili tofauti. ladha ya vanilla na ladha ya iriki. karibu
Nauza mbuzi wa kubwa kabisa kutoka singida, kuna mbuzi wa supu kuanzia 80000 na wa kuchoma kuanzia 100000 mpaka 130000, karibuni sana
wazalishaji wa bidhaa bora zangozi kama vile viatu,mabegi,mikanda na Batiki
?kwa nguo nzur na kali za mitumba grade A tembelea page yetu @brihannahmitumbacollections @brihannahmitumbacollections @iam_brihannah @iam_brihannah tembelea page zetu ujipatie nguo kali?na unaweza kutucol kwa no:0784371974
Karibu tukushonee upendeze pia tunadesign nguo mbalimbali za rika zote na jinsia zote karibu upendeze kwa gharama nafuu
Tazama biashara za mtaa mwingine
Biashara Zote →