All Businesses

Dar es Salaam · Business Profile

Dagaa wa nyama au UONO ( Zanzibar)

Est. 2020
2020
Established
0
Products
Ubungo- kibo
Operating Zone
📋 About This Business

karibu ujipatie dagaa wa nyama kutoka Zanzibar, kwa Bei pouwa kabisa sifa za hizi dagaa 1.kwanza Ni watamu na wasafi kabisa 2.wanachumvi tayari 3.Hawana michanga kabisa 4.umaweza kutafuta hivi hivi 5.wanaweza kukaa hata miezi 3 hadi 4 bila kuharibika tunauza kwa Bei ya jumla....kilo ni 7500/= ....pia tunapima sado na debe


karibu ujipatie dagaa wa nyama kutoka Zanzibar, kwa Bei pouwa kabisa sifa za hizi dagaa 1.kwanza Ni watamu na wasafi kabisa 2.wanachumvi tayari 3.Hawana michanga kabisa 4.umaweza kutafuta hivi hivi 5.wanaweza kukaa hata miezi 3 hadi 4 bila kuharibika tunauza kwa Bei ya jumla....kilo ni 7500/= ....pia tunapima sado na debe

📍
Office Zone Ubungo- kibo
Listed Products 0 products
🛍️

No Products Listed Yet

This business hasn't added anything to their catalog yet.