Maria newhope & sweet product
🏢 Address:
About This Business
Karibuni wote,tunaagiza mizigo mbalimbali kutoka china kuja Tanzania mikoa yote,tunatumia usafiri wa Meli na ndege kusafirisha mizigo kupitia kampuni za uhakika.utaratibu ni tunachangia order zote mbalimbali ikitimia order tunafanya manunuzi na kutuma bongo...usafiri wa meli unatumia siku 30-35 kufika TZ,usafiri wa ndege unatumia siku 10-14 wanacharge U$13 kwa Kg 1 kufika TZ,lakini kutokana na gharama za usafiri wa ndege na ukosefu wa ndege za mara kwa mara kwa sababu ya janga la korona wengi tunawashauri kutumia meli.ukiwa na order yako full tunakuagizia moja kwa moja bila kusubiri order zingine, tunapatikana kimara mwisho karibuni sana =O. bonyeza ikupeleke WhatsApp Bei sawa na bure kabisa sio sawa na kariakoo https://chat.whatsapp.com/GLQJd1MdzgD3700qEcfmWK
Contact Information
No Products Listed Yet
This business hasn't added any products to their catalog yet.