All Businesses

Dar es Salaam · Business Profile

Ngosha_kiwango_nafaka

Est. 2018
2018
Established
0
Products
Dar es salaam
Operating Zone
📋 About This Business

Tunauza mchele quality kutoka mbeya na maharage kutoka arusha kwa bei nafuu. Pia tunauza kuku wa nyama(Broiler) kwa jumla na reja reja


Tunajishughulisha na ufugaji wa kuku wa nyama ambao wanatoka 1,000 kila alihamisi,ijumaa,jumamosi na jumapili, lakini pia tunauza nafaka mbali mbali kwa bei rafiki jumla na reja reja, tunafanya delivery kwa wateja wa jumla kuanzia tan moja. Kwa mahitaji wasiliana via 0712503407 au 0621386789

📍
Office Zone Dar es salaam
🏢
Address Kitunda-Kivule
Listed Products 0 products
🛍️

No Products Listed Yet

This business hasn't added anything to their catalog yet.