Dar es Salaam · Business Profile
Ngosha_kiwango_nafaka
Est. 2018
2018
Established
0
Products
Dar es salaam
Operating Zone
About This Business
Tunauza mchele quality kutoka mbeya na maharage kutoka arusha kwa bei nafuu. Pia tunauza kuku wa nyama(Broiler) kwa jumla na reja reja
Tunajishughulisha na ufugaji wa kuku wa nyama ambao wanatoka 1,000 kila alihamisi,ijumaa,jumamosi na jumapili, lakini pia tunauza nafaka mbali mbali kwa bei rafiki jumla na reja reja, tunafanya delivery kwa wateja wa jumla kuanzia tan moja. Kwa mahitaji wasiliana via 0712503407 au 0621386789
📍
Office Zone
Dar es salaam
🏢
Address
Kitunda-Kivule
Contact Information
Listed Products
0 products
🛍️
No Products Listed Yet
This business hasn't added anything to their catalog yet.