Dar es Salaam · Tanzania
Matangazo ya Biashara
Taarifa na matangazo ya wafanyabiashara ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Feeds
1056 eggs incubator price 1500,000 Tsh +255717523626 call/whatsapp
Tunauza vitenge original toka kigoma kwa bei ya 35000 tsh havipauki wala kuchuja Tunapatikana Buguruni kwa Mnyamani kituo cha relini Mawasiliano 0718 90 20 22
Incubator full automatic Mayai 264 bei 750,000 Tsh 0717523626 call/whatsapp
L shape sofaset kwa bei poa kabisa karibuni, 0653848995
Kitanda na drawers zake 100% pure wood,karibuni sana
Leather sofaset kwa bei poa kabisa
karibu ujipatie kingamuzi cha dstv full set yani kingamuzi na dish lake popote ulipo bei ni elfu 99,000 popote ulipo dar es salaam tunakuletea pia ufundi ni juu yetu. utapata ofa ya kifurushi cha compact kwa mwezi mzima pia ukilipia elfu 19,000 kwa mwezi utapata kifurushi cha elfu 44,000 wahi sasa nipigie 0677423349
He, unatatizo la chunusi, harara, mba, sugu,weusi kwapan, mapajani michiriz?? njoo Whatsapp utatue tatizo lako acha kuteseka na kuhangaika kuharibu ngozi yako ushauri Ni bure 0787049001
Bath and body works Mists in stock
AFYA MTAJI WAKO WA KWANZA? Je unafahamu madhara ya mafuta katika mwili wako? Maradhi ya Pressure (B.P), Shinikizo la Damu, uzito mkubwa kupitiliza, kisukari na mengineyo ni baadhi ya maradhi hatari zaidi Duniani kwa sasa. Kulingana na ripoti za madaktari, uchunguzi unasema kwamba moja kati ya sababu ni matumizi makubwa ya mafuta mwilini, na asilimia kubwa ya watu hutumia aina ya mafuta ambayo huganda mwilini na hatimae kuwasababishia maradhi hayo. Hivyo ili kuepuka maradhi haya tunashauriwa kutumia aina za Mafuta yasiyoganda katika miili yetu ikiwemo Mafuta ya Alizeti, Mawese, Mafuta ya karanga, Nazi na mengineyo. Hivyo jali afya yako kwa kutumia Mafuta safi kabisa ya Alizeti kutoka Singida Tanzania. Wasiliana nasi kupitia +255745671619 | +255683625140 tutakuletea popote Dar es salaam.
Karibu tutatue ttz lako la kiafya, vidonda vya tumbo, presha, kisukari, nk
Wasiliana nasi 0786880043
Karibu tukuhudumie, kwa huduma za usafi officeni na nyumbani kwako. Kwetu usafi ni afya
Tunakodisha muziki & Djs kwa Shughuli aina zote Muziki wetu ni mzuri na wakisasa
Karibu upate pazia za kisasa
#Biashara yako inahitajika kujulikana kila kona ya jiji letu la #Dar es salaam. #WeWillHelpYouGetThere
Mafuta ya mnyonyo bado yanapatikana kimara suka kwa jumla na rejareja. 0745379674 hukuza na kujaza nywele Huondoa mba na miwasho Huimarisha mifupa na kutibu chango Huondoa mvi na kuzuia kukatika kwa nywele.... Mafuta halisi hayajachanganywa na kitu chochote bei 10000 jumla 7500 kuanzia 6 derivery 2000 kwa dar... Fursa mkononi mwako.
We design products to change the lives of the world’s 2 billion off-grid consumers who use dim, dangerous kerosene lamps for light at night. Buy a Sun King today and let’s bring honest, affordable energy to homes around the world
Nauza asali mbichi kutoka tabora Ltre 1 Tsh 10,000 Ltre 2 Tsh 20,000 Litre 3 Tsh 30,000 Litre 4 Tsh 40,000 Litre 5 Tsh 480,000 Mawasiliano 0743 788 246 /0767 777 2687 Napatikana Yombo abiola temeke Dsm karibuni sana. Kula asali ni kuweza kupata uwezo wa kwenda haja kubwa,Kusaidia kupona vitonda vya tumbo,Kusaidia kuondoa pressure mwilini na Kusaidia kupuzuza kisukali mwilini.
Karibu ujipatie mziki & MC, mapambo, chakula, keki, video shooting, still picture, projectors, magari ya maharusi
Habari njema kwa Watanzania wote sasa unaweza kuokoa muda kwa kutumia Maharage Smart ambayo ni bora kwa afya zetu pia ni masafi na hayana uchafu wowote. Hakuna kuchambua tena.
Happy new year #DaresSalaam.
Nauza asali mbichi kutoka tabora Litre 1 Tshs 13 000 = Litre 2 Tshs 26 000 = Litre 3 Tshs 54 000 = Litre 5 Tshs 65 000 = Litre 10 Shs 130 000 = Kwa wazi wote wa Dar es salaam unaletewa popote ulipo mawasiliano ni 0743 788 246 0767772687
Tunatengeneza vifaa vya umeme aina zote tunauza ant-virus aina zote tuna supply vifaa vya umeme tunauza laptop aina zote. Karibuni sana for sale and repairs of your laptops phones and cameras
Karibuni sana kwa maelezo zaidi tupigie kwenye namba 0673350746
Karibuni Haji Tiles kwa mahitaji yako ya tiles gpsum board powder shower sink masinki ya jikoni n.k
Zifuatazo ni faida za kutumia #CHIASEED changamka leo hii upate SULUHISHO la tatzo lako
#CHIASEED zinapatikana kwa bei poa kabisa 1kg 12000 =
We are dealing with Beauty cosmetics and personal care we are dealing with Hair Facial Nails Make up microblanding and Lashes
Karibuni sana kwa mahitaji yako ya nguo wakati huu wa sikukuu. Tupigie 0658224320
Tunauza nguo za wakubwa na watoto kwa bei poa kabisa karibu ujipatie suti za kijanaja katika msimu huu wa chrismas na mwaka mpya
Karibuni sana
Karibu tukushonee upendeze pia tunadesign nguo mbalimbali za rika zote na jinsia zote karibu upendeze kwa gharama nafuu
Tunatengeneza Chocolate cakes zenye ubora wa hali ya juu karibu tukuhudumie
Karibu Masonga bakery shop ujipatie aina nne (4) za mikate kama vile French & Butter bread milk & butter bread sweat milk bread na brown bread kwa bei nafuu pia tunafanya delivery bei ni kama bure
Iphone aina zote full boxed zenye warranty ya mwaka mzima zinapatikana tupigie 0687309910
Iphone aina zote full boxed zenye warranty ya mwaka mzima zinapatikana tupigie 0687309910
Kwa mahitaji ya vitanda vizuri nipigie kwa 0719714298 na whatsapp pia napatikana
Kwa mahitaji ya furnitures nzuri kwa bei nafuu kama makabati vitanda showcase meza viti etc.tu follows @ts_furnitures Au tupigie?0719-714298 na whatsapp. Pia tunapatikana keko near na Chuo cha veta Dar es Salaam na Mikoani tunatuma kwa bei nafuu. @ts_furnitures @ts_furnitures.
Ni mafuta ya mnyonyo yanafanya kazi ya kukuza nywele kuondoa mba kufanya nywele zisikatike na kujaza nywele kwa fedha za kitanzania ni sh 5000 = tu na delivery ni 2000 =