Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
|
karibu utengeze logo kwa bei rahis sana pamoja na mabango kwa bei rahisi sana.
|
|
Suruali za kike. Martina Clothing Store, wauzaji wa nguo za mitumba tunakuletea offer ya msimu huu wa sikukuu. Jipatie suruali (jeans/ za ofisini) kwa bei ya punguzo ambayo ni 6,000. Tunakuletea popote ulipo kwa gharama nafuu. Tembelea ukurasa wetu wa instagram kwa taarifa zaidi @martina_clothing_store. Offer hii ni ya tarehe 16/12 hadi tarehe 03/01
|
|
Sale sale sale Jipatie double frying pan cm 36 kwa 50,000 tuu wahai sale hii kabla bidhaa hazijaisha kuwai kwako ndo kupata kwako wasiliana nasi kupitia 0656902696
|
|
Toyota Corona Kuna vitu vngi vinausika katika kufanya kazi Nzuri (1)uandaaji Mzur (2)kutumia material bora Kwa kazi husika (3)kazi ifanyike Kwa wakati sahihi nikisema wakati sahihi Namaansha kama kazi ni ya siku 7 isifanyike Kwa siku 3 huwezi pata kazi Nzuri (4)kutumia rangi bora ambazo hazipauki mapema. Karibu sana ubadilishe muonekano Gari Kwa bei nafuu kabisa
|
|
for decoration service 0712360776 ulipo tunakufikia kwa gharama nafuu
|
|
JAMANI SASA IMEFIKA WAKATI UBADILI KOCHI. MSIMU HUU WA SIKUKUU USIKUBALI KUBADILI MWAKA NA SOFA SET YA ZAMANI. TUCHECK 0716771053/0686785485 TUKUWEZESHE KUANZA MWAKA NA SET MPYA.
|
|
BADILI RANGI YA NYUMBA YAKO NA SISI, TUNAMAFUNDI WAZOEFU NA KWA BEI YA KITANZANIA KABISA.. BADILI RANGI MSIMU HUU WA SIKUKUU. 0716771053/0686785485
|
|
Suruali za jeans za mitumba za kike kwa 8,000/- tu. Karibuni sana.
|
|
|
KARIBU NOBLE REAL ESTATE TUNAKOPESHA VIWAJA KWA BEI NSFUU BILA LIBA WALA DHAMANA 0620430477
|
|
KARIBUNI NOBLE REAL ESTATE UJIPATIE VIWANJA VIZURI AMBAVYO VIPEMIMWA NA VINAHATIMILIKI 0620430477
|
|
KIWANJA KINAUZWA KIBAMBA CHAMA UKUMBWA 20 kwa 35
|
|
|
Cadets nzuri zipo kwa bei ya 20000/= tu Nunua mbili kwa 38000/= karibuni sana
|
|
|
|
Welcome gauni lipo(bila mkanda) 25000/= tu +255654953886
|
|
Mashati ya kiume cotton nzuri yapo kwa bei ya 20000/= tu Wahi sasa ujipatie lako Size zipo hadi XXXXL Welcome +255654953886
|
|
Kwa kupata maziwa fresh na mtindii unapatikanaa hapaa, kwa Dar es Salaam delivery ni bure kabisaa kuanziaa Lita 5... piga namba 0659603860 au WhatsApp 0747576875
|
|
USIINGIE MWAKA MPYA NA RANGI YA ZAMANI BADILI RANGI YA NYUMBA YAKO NA SISI TIPIGIE 0686785485/0716771053
|
|
DINNING TABLE NZURI SANA UNAIPATA KWA ORDER NA HARAKA UNALETEWA MZIGO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0716771053/0686785485
|
|
Chocolate cake packages available for 10000 and 15000 Call/whatsup 0714842522
|
|
|
Tunatengeneza na kuripea sofa Aina zote call 0743583541
|
|
Tunatengeneza na kuripea sofa Aina zote call 0743583541
|
|
|
USININGINIZE NGUO NYIMA YA MLANHO KABATI SIMPLE ZURI UENJOY NALO MSIMU HUU WA SIKUKUUU WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0716771053/0686785485
|
|
BADILI NDANI MWA NYUMBA YAKO NASI KWA RANGI SAFI NA DEVORATIONS ZA KISASA WASILIANA NASI KWA SIMU 0716771053/0686785485
|
|
Kiwanja kinauzwa kipo Mbagala Kongowe, kituo ni mzinga, dakika 15 tu kutoka barabara kuu ya kilwa. Ukubwa wa kiwanja ni 40M x 35M.
|
|
|
vitu hiyo vya gadeni viko poa sana karibuni sana ujipatie kilicho bora sana kwa bei. iliyo poa sana wahi sasa ofa ya kufunga mwaka by another level furniture
|
|
Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake
|
|
Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake
|
|
Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake
|
|
tunatoa huduma za mafunzo ya FOREX training ada ni 100,000/= tu kuanzia level ya chini kabisa mpk level ya juu pale utakapo kuwa tayari kuweza kuingia sokoni mwenyewe..KARIBU tukufunze jinsi ya kutengeneza pesa taratibu..mafunzo yatatolewa kwa awamu mbili tofauti kwa wale ambao wanahitaji 1 to 1 training ada ni 150,000/= Pia tunatoa signal kwa wale ambao wanahitaji kuwekeza kwenye FOREX lkn wanakosa muda mzuri wa kulichambua soko sisi tupo kwa ajili yao ada kwa mwezi ni 30,000/= tu Pia tunasimamia ACC za watu mbalimbali: vigezo: Acc inatakiwa isipungue chini ya 200$ na mgawanyo wa faida utakuwa 50/50 kila wiki ya kazi. +277249677497 WhatsApp
|
|
coffee table hiyo iko poa sana karibuni sana upate kilicho bora sana kutoka kwa another level furniture kwa bei nafuuu sana
|
|
Ninauza bidhaa za usafi kwa bei rahisi mno zenye ubora wa hali ya juu
|
|
Tunatengenza furniture aina zote kwa order tunapatikana keko bora kwa mawasiliano kwa no 0689202144
|
|
Nauza show case ya kuwekea bidhaa mbalimbali Dukani bidhaa kama perfume body spray miwani nk zipo show case mbili napatikana kwa number 0713258874
|