Dar es Salaam · Tanzania

Matangazo ya Biashara

Taarifa na matangazo ya wafanyabiashara ndani ya jiji la Dar es Salaam

🔐
Please sign in to post updates about your business.

Filter Feeds

Latest Updates Page 73 of 164
Kulcas_cakes
Kulcas_cakes
09 Dec 2020 · 20:31

Chocolate cake packages available for 10000 and 15000 Call/whatsup 0714842522

Rogers masofa
Rogers masofa
Est. 2000 09 Dec 2020 · 08:30

Tunatengeneza funirture Aina zote call 0743583541

Rogers masofa
Rogers masofa
Est. 2000 09 Dec 2020 · 08:28

Tunatengeneza na kuripea sofa Aina zote call 0743583541

Rogers masofa
Rogers masofa
Est. 2000 09 Dec 2020 · 08:27

Tunatengeneza na kuripea sofa Aina zote call 0743583541

SendusChina
SendusChina
08 Dec 2020 · 22:59

Bei 60,000

Aiche Creations ltd
Aiche Creations ltd
Est. 2019 08 Dec 2020 · 21:26

USININGINIZE NGUO NYIMA YA MLANHO KABATI SIMPLE ZURI UENJOY NALO MSIMU HUU WA SIKUKUUU WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0716771053/0686785485

Aiche Creations ltd
Aiche Creations ltd
Est. 2019 08 Dec 2020 · 21:25

BADILI NDANI MWA NYUMBA YAKO NASI KWA RANGI SAFI NA DEVORATIONS ZA KISASA WASILIANA NASI KWA SIMU 0716771053/0686785485

Viwanja/Kiwanja
Viwanja/Kiwanja
Est. 2020 08 Dec 2020 · 21:05

Kiwanja kinauzwa kipo Mbagala Kongowe, kituo ni mzinga, dakika 15 tu kutoka barabara kuu ya kilwa. Ukubwa wa kiwanja ni 40M x 35M.

Amcakes
Amcakes
Est. 2019 08 Dec 2020 · 09:44

OFFER kwa cakes za graduations za Christmas

sangiruge
sangiruge
Est. 2016 07 Dec 2020 · 23:17

vitu hiyo vya gadeni viko poa sana karibuni sana ujipatie kilicho bora sana kwa bei. iliyo poa sana wahi sasa ofa ya kufunga mwaka by another level furniture

JIKO RAFIKI
JIKO RAFIKI
Est. 2016 07 Dec 2020 · 23:15

Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake

JIKO RAFIKI
JIKO RAFIKI
Est. 2016 07 Dec 2020 · 22:59

Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake

JIKO RAFIKI
JIKO RAFIKI
Est. 2016 07 Dec 2020 · 22:56

Jiko rafiki ni jiko linalotumia mikaa mitatu mpaka minne tu kuivisha chakula chako pia linatumia kuni, maranda ya mbao na mabunzi pia ..linapatikana kwa Tsh 50000/=tu pamoja na free delivery kwa wakazi wa Daressalaam.. NB limewekwa material maalum ndani yake

PhenolfxTZ
PhenolfxTZ
Est. 2019 07 Dec 2020 · 22:46

tunatoa huduma za mafunzo ya FOREX training ada ni 100,000/= tu kuanzia level ya chini kabisa mpk level ya juu pale utakapo kuwa tayari kuweza kuingia sokoni mwenyewe..KARIBU tukufunze jinsi ya kutengeneza pesa taratibu..mafunzo yatatolewa kwa awamu mbili tofauti kwa wale ambao wanahitaji 1 to 1 training ada ni 150,000/= Pia tunatoa signal kwa wale ambao wanahitaji kuwekeza kwenye FOREX lkn wanakosa muda mzuri wa kulichambua soko sisi tupo kwa ajili yao ada kwa mwezi ni 30,000/= tu Pia tunasimamia ACC za watu mbalimbali: vigezo: Acc inatakiwa isipungue chini ya 200$ na mgawanyo wa faida utakuwa 50/50 kila wiki ya kazi. +277249677497 WhatsApp

sangiruge
sangiruge
Est. 2016 07 Dec 2020 · 21:21

coffee table hiyo iko poa sana karibuni sana upate kilicho bora sana kutoka kwa another level furniture kwa bei nafuuu sana

Bidhaa za usafi wa majumbani na maofisini
Bidhaa za usafi wa majumbani na maofisini
Est. 2017 07 Dec 2020 · 17:11

Ninauza bidhaa za usafi kwa bei rahisi mno zenye ubora wa hali ya juu

Jimmy furniture
Jimmy furniture
Est. 2010 07 Dec 2020 · 11:14

Tunatengenza furniture aina zote kwa order tunapatikana keko bora kwa mawasiliano kwa no 0689202144

Muuza bidhaa mbalimbali
Muuza bidhaa mbalimbali
Est. 2019 06 Dec 2020 · 23:02

Nauza show case ya kuwekea bidhaa mbalimbali Dukani bidhaa kama perfume body spray miwani nk zipo show case mbili napatikana kwa number 0713258874

Netplus Technologies Tanzania
Netplus Technologies Tanzania
Est. 2020 06 Dec 2020 · 22:13

Tunatengeneza website na blogu za kisasa kabisa kwaajili ya biashara yako. Pia tunataoa huduma ya web hosting na mobile app development. Wasiliana nasi kupitia namba 0784945230 kwa maelezo zaidi.

Aiche Creations ltd
Aiche Creations ltd
Est. 2019 06 Dec 2020 · 21:21

ENJOY MSIMU HUU WA SIKUKUUU NA MAKOCHI KUTOKA KWETU. PIGA SIMU WEKA ORDER UNALIPATA FAST NA UENJOY SIKUKUU

Aiche Creations ltd
Aiche Creations ltd
Est. 2019 06 Dec 2020 · 21:20

BADILI MAKOCHI YAKUPE UKASIRI YA KUMKARIBISHA KWAKO NYUMBANI.. SOFA SET NZURI KWA BEI SAFI KABISA MI SIMU NA ORDER NDANI YA MDA MFUPI UNAFURAHI 0716771052/0686785485

Aiche Creations ltd
Aiche Creations ltd
Est. 2019 06 Dec 2020 · 21:19

TUNAPAKA RANGI YA NJE NA NDANI YA JENGO KAMA NYUMBA AU OFISI WASILIANA NASI 0716771053/0686785485 ENJOY SIKUKUU OFFER

HQ Graphix.
HQ Graphix.
Est. 2020 06 Dec 2020 · 15:14

Tengeneza Brand yako sasa Kwa bei nafuu kabisa.

MASHUKA NA VITENGE
MASHUKA NA VITENGE
Est. 2020 06 Dec 2020 · 10:41

Pata VITENGE vizuri kwa bei NAFUU kabisa. @25000/= Free delivery

U-TECH TZ
U-TECH TZ
Est. 2020 06 Dec 2020 · 01:50

U-TECH TZ ni wataalamu wa kufunga CCTV Cameras kwa ustadi na taaluma ya aina yake. Camera zina ubora wa hali ya juu.Full HD Good day &Night visionWaterproofindoor &outdoor support Mobile remote view - hii itakusaidia kuona eneo ambalo umefunga cctv camera ukiwa sehemu yoyote duniani kwa kutumia simu yako ya mkononi. Tunafunga camera kwenye mashule ofisi, godauni, duka, vituo vya kujazia mafuta, super market majumbani, ATM na sehemu nyingine nyingi. Kuwa na utulivu wa akili juu ya mali na eneo lako pindi utakapo kuwa karibu au mbali yote hayo kiganjani kwako au ofisini.. Karibu Ofisi za U TECH TZ zilizopo Kariakoo,msimbaziDar es salaam , Msimu huu wa sikukuu tunaoffa wateja wetu wote wa mikoani kwa ushauri na makadirio ya gharama bure kabisa. Phone +255782343329 Instagram utechtz

usafi na afya bora
usafi na afya bora
Est. 2020 05 Dec 2020 · 22:02

G1laundry ni sabuni ya unga ambayo haina kemikali sumu na ni sabuni ambayo inajifua yenyewe ni unaloweka nguo kwa masaa manne baada ya hapo unaenda tuu kuanika

ELECTRICAL SERVICES
ELECTRICAL SERVICES
Est. 2020 05 Dec 2020 · 20:50

Kwa mahitaji ya vifaa bora vya umeme kama distribution board na panel zinapatikana kwa ukubwa tofauti,pia tunamain switch ndongo za single phase, brand zetu ni za SIEMENS,ABB,,kwa mawasiliano zaidi 0687431495

ferniture
ferniture
Est. 2017 05 Dec 2020 · 01:17

kwa mahitaji ya sofa na viti vya kisasa waweza wasiliana nami popote tz 0719074027

Nassor Abdallah
Nassor Abdallah
Est. 2020 05 Dec 2020 · 00:23

bei zetu ninafuu sana used kutok dubai

Nassor Abdallah
Nassor Abdallah
Est. 2020 05 Dec 2020 · 00:21

kwa mahitaj ya tyre used zenye ubora wa silian 0659150243

sangiruge
sangiruge
Est. 2016 04 Dec 2020 · 09:06

mambo hayo dining table hiyo mninga uko poa sana by another level furniture tupo vizuri sana kwa kutegeneza furniture za manyumbani na maoficen kwa bei nafuu san0718157807

sangiruge
sangiruge
Est. 2016 04 Dec 2020 · 09:00

vitu vya ukweli sana hivyo karibuni sna upate kwa bei nafuu sana na usafiri bure watu wa dar dining table hiyo by another level furniture

LOSE TO WIN
LOSE TO WIN
Est. 2020 04 Dec 2020 · 07:10

MRT COMPLEX NA FAIDA ZAKE KIAFYA: 1. Kupunguza MAFUTA mwilini 2. Kila pakiti ina mlo mbadala wa kalori 76tuu 3., inasafisha ini na figo 4. ni nzuri kwa wenye kisukari 5. ina kiwango kikubwa cha protin, vitamin na madini 6. inatunza kiwango cha wakati unaoteza uzito 7.Ina kinga pia inazuia kupata saratani 8.Inatunza nguvu ya mwili wakati unapunguza uzito 9.Inasaidia mwili kufyonza virutubisho,ni nzuri kwa tatizo la figo 10.Ina viwango vya juu vya protini,vitamini na madini 11.Inawafaa pia kwa wenye tatizo la kisukari 12.INA CHOMA NA KUVUNJAVUNJA MAFUTA YASIYOHITAJIKA MWILINI KILA PAKITI NI MLO KAMILI WENYE KAROLI 76, inasafisha INI na FIGO. Kuipata huduma hii muhimu wasiliana nasi kupitia: Gharama yake ni tsh@180,000/=tu Whatsapp:-0746 808 808 #PunguzaUzitoWako #AnzaProgramYaP4

LOSE TO WIN
LOSE TO WIN
Est. 2020 04 Dec 2020 · 07:02

JE, UNAHITAJI KUPUNGUA UZITO AU KITAMBI CHAKO? Nimekuandalia PROGRAM maalumu ya siku 20-24 ambayo pia inapunguzo kubwa la bei (15,000). Hii PROGRAM inauwezo wa kupunguza kilo 7 hadi 10 na gharama yake ni tsh 270,000/=tu. Hii OFA ni ya siku 4 tu, na inaanza leo hadi tarehe 4 saa saba mchana. Hivyo kama ni muathirika na muhitaji wa kupunguza uzito, iwahi hii OFA. Mawaliano: Piga/Whatspp>>0746 808 808

fredi Furniture
fredi Furniture
Est. 2020 03 Dec 2020 · 20:47

vitanda vya chuma bei pow tupo mbezi beach kutupata 0673039863

fredi Furniture
fredi Furniture
Est. 2020 03 Dec 2020 · 20:46

tunatengeneza vitanda vizur kutupata 0673039863 tupo mbezi beach

PUNGUZA UZITO ONDOA KITAMBI
PUNGUZA UZITO ONDOA KITAMBI
Est. 2020 03 Dec 2020 · 19:48

Offer offer! Ni kwa shs 24000/= tu..unajipatia Portable blender chap. Tunafanya deliver free kabisa kwa Dar es salaam utaletewa hadi ulipo bila gharama yoyote. Portable blender ni blender ndogo unayoweza kuitumia kwa kuichaji tu.. blender hii ni nzuri inaasaga juice , smoothie au vyakula vya watoto au wazee, matumizi ya jikoni pia ni nzuri sana..tupigie au ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa namba #=

Mr one fashion
Mr one fashion
Est. 2020 03 Dec 2020 · 18:01

Available

Mr one fashion
Mr one fashion
Est. 2020 03 Dec 2020 · 18:01

Welcome

Mr one fashion
Mr one fashion
Est. 2020 03 Dec 2020 · 18:00

Welcome price 55000 original