Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
|
je?unachangamoto ya kufubaa kwa sink lako la chooni,jakuzi au hata sink lako la kunawia mikono.jibu la tatizo lako ni Qona tiles cleaner itaondoa stains zote zilizongangania na kuliacha safi na lenye kungaa.lita moja kw tsh 3000 tu n lita tano tsh 10,000 tu.kuanzia lita tano delivery ni free mpaka kituoni kwako kwa wakazi wa dar.karibu tkuhudumie.Tunakaribisha mawakala pia kote Tanzania
|
|
jipatie sabuni tiba za mimea asili kabisa kwa ustawi wa afya ya ngozi yako,inatibu mba,muwasho wa ngozi,chunusi na kukausha mafuta usoni.inatumiwa na jinsia zote.bei ni th 3000 tu.ukihitaji jumla pia tunauza karibu.Tunakaribisha mawakala pia kote Tanzania
|
|
Tutafute tukuandikie na kukusaidia katika biashara, mradi au kampuni yako. Business Plan na Proposals.
|
|
Blast pikipiki nzuri kabisa ni bado mpya kabisa imetembea miezi michache Haina tatizo lolote price 1550000 0689 358615
|
|
|
hii ni meza za office tunatengeza na kuweka logo yako ya campony ikiwa imewaka. karibuni F R SIGN 0620449421
|
|
viwanja vinapatikana makazi mapya Kiluvya madukani umeme maji yapo kuanzia million 1.8, 2.8, 3 nk survey free cost
|
|
simu: Oneplus6T 128gb...,ram 6gb. Colour Black. 16+20mp dualcamera price 800,000/= call 0713604762
|
|
Iphone 6s+ 64gb, ram 4gb Fingerprint scanner Battery life 100% Price 420,000 call through 0713604762
|
|
unahitaji kupunguza uzito? unahitaji program ya peke yako? unahitaji kufundishwa na kufatilia kwa karibu? unahitaji kuuona uzuri wa muonekano wako? unahitaji kujisifia kwa kupunguza tumbo, minyama uzembe, na shepu yako nzuri kurejea? unahitaji kuimarisha afya yako kwa kupunguza kilo( mafuta mwilini)? Ni rahisi tu. program makini Sana na ya afya, inakusaidia kupungua kwa asili bila athari yoyote ndani ya siku 9 Hadi 15, kwa kupunguza kilo 6 ndani ya siku 9 na zaidi ya kilo 10 ndani ya siku kumi na tano. jali afya yako. rejesha muonekano wako. utaelekezwa na kufundishwa namna ya ulaji na mazoezi madogo madogo ndani ya program. wasiliana nasi kwa msaada zaidi. 0755324799/0748318008
|
|
moja Kati ya product muhimu Sana kwenye program yetu ya kupunguza uzito Ni hii hapa ya aloe vera gel. * kazi yake kubwa kwenye program ya kupunguza uzito ni kusafisha mfumo wote wa mwili na kuondoa taka mwili(sumu) mwilini. *kwa kusafisha na kuondoa taka mwilini, inasaidia nutrients kufyonzwa vizuri kwa ajili ya kazi husika mwilini. Mbali na kazi hiyo ya kwenye program * inasaidia kwa wenye shida ya constipation ( kupata choo kigumu/ kukosa choo kabisa) * inasaidia kwa wenye shida ya vidonda vya tumbo *inasaidia kwenye swala la mumeghenyo wa chakula * inaimarisha Kinga ya mwili *inafanya ngozi kughaaa, kulainika na kua changa zaidi najua wewe Ni muhitaji wa hizi bidhaa.Ni nzuri kwa watoto na watu wazima pia. usiache kututafuta kwa msaada na maelekezo kwa namba. 0755324799/0748318008
|
|
karibuni unga wa lishe wenye mchanganyiko wahindi lishe,viazi lishe na mbegu za maboga ni maalum kwa watoto kuanzia miezi sita, mama mjamzito,mama aliyetoka kujifungua wagonjwa, wazee na watu wote. tunapatikana dar es salaam call/whatsap 0687028343
|
|
Jipatie wine original kutoka Dodoma kwa mawasiliano zaidi 0655368294 Unaletewa popote ulipo
|
|
jipatie bloxs yanyumba anaipanga mpaka inakamilika kwabei poa unaletewa mpaka ulipo free dereveli tutafute kupitia No 0768602324
|
|
weka mwili wako sawa kufanya mazoezi yasio umiza jipatie kwabei poa unaletewa popote ulipo free dereveli tutafute kupitia No 0768602324 kalibu
|
|
jipatie mchezo wamwanao kwabei poa unaletewa popote ulipo free dereveli tutafute kupitia No 0768602324 kalibu asante
|
|
pata radio call kwajili ya mchezo wa watoto zako unaletewa popote ulipo free dereveli tutafute kupitia No 0768602324 kalibu
|
|
pata mop bacat kwamatumidhi yanyumbani usafi nimuimu unaletewa mpaka maali ulipo free dereveli tutafute kupitiaNo.0768602324 kalibu
|
|
jipatie mchezo mdhuli spideman wakutambaa anaetumia betli kwabei poa Tsh.15.000 tutafute kupitia no.0768602324.kalibuni sana
|
|
jipatie mchezo mdhuli gali ya limont kwabei poa.Tsh.35.000 tu tutafute kupitia no.0768602324
|
|
karibuni sana viatu ..sandals zimetengenezwa kwa ngozi ..rejareja 12000...jumla 10000 ....0756928807..weka oda yako mapema
|
|
mashuka mazuri ya mtumba nauza online nafanya derived kwa dar kwa gharama za mteja shuka kwanzia 10000-35000 kwa picha nyingi nyingine nichek kwa no hii 0658322992 WhatsApp
|
|
|
|
|
coffee table kali tunatengeneza na tunapokea oda 0673039863 tupo mbezi beach
|
|
|
|
busnies card kwa bei rahisi sana pc1000 tunaanza karibuni sana F R SING 0620449421
|
|
T-shirt za kijanja karibuni sana F R SIGN .PC kumi disign bure tunafanya. 0620449421
|
|
|
karibuni sana F R SIGN KWA MABANGO YA 3D LETRE KWA BEI RAHISI SANA 0620449421
|
|
|
Jipatie unga wa mikanda ya gypsum kwa bei nafuu sana 0788593334
|
|
Karibu ujipatie bidhaa zetu kwa bei nafuu sana 0714333882
|
|
Galaxy A20s Storage 32gb ram 3gb, 4g Lte price 270,000. call :0713604762
|
|
|
|