Dar es Salaam · Tanzania
Matangazo ya Biashara
Taarifa na matangazo ya wafanyabiashara ndani ya jiji la Dar es Salaam
Filter Feeds
Furnitures nzur za kisasa tufollow Instagram account@furnitures qali ,, jipatie punguzo la Bei sikukuu hii .piga namba 0744834159
Furnitures nzur za kisasa tufollow Instagram account@furnitures qali ,, jipatie punguzo la Bei sikukuu hii .piga namba 0744834159
Karibuni, Tunauza t-shirts logo tofauti size, rangi zote zinapatikana... tunazo t-shirts za watoto pia rangi zote na size kuanzia mwakammoja. BEI.. T-shirt za wakubwa 17,000/= T-shirt za watoto 15,000/= Plover 22,000/= Hood 30,000/= WIGI zote 25,000 WIVING 15,000 RASTA 1,300 REJAREJA RASTA JUMLA 1000 KUANZIA PC 50
laptop aina zote zinapatikana oficin kwetu hp, dell, asus, samsang.pia kwa mahitaji ya accessories mbalimbali zinapatikana vioo, ram, harddisk, keyboard, mother body, betri na vingine vingi vinapatikana t technology
hizi ni ram zinapatikana t technology
tv show cas kwa bei pow 0673039863
kwamaitaji ya fundi umeme piga 0746667199..0717035247 pare unapo muitaji atakuja mda muafaka
welcome mivinjen auto garage WhatsApp number 0717035247..car 0746667199.0717035247
T-shirt disine bure kuanzia PC 10 karibuni F R SIGN 0620449421
T-shirt za kijanja
T-shirt za kijanja karibuni F R SIGN 06449421
mzigo upo wa kutosha printing T-shirt desine bure kuanzia T-shirt 10 F R SING 06449421
Kupata huduna mzuri za research ngazo za Diploma, Bachelor na Masters 0757662630
Karibuni wenye kuhitaji bango za kisasa F R SIGN 0620449421
bango za shel za kisasa karibuni sana .F R SIGN 0620449421
T-shirt kali za kijanja karibuni sana F R SIGN 0620449421
tshir kali disign bure ukitoa oda kubwa kuanzia tshirt 10 na kuendelea
joo ujumuike nasi mivinjen auto garage Kama unataka kazi mzuri 0717035247::0746667199
Vikoi vizuri nicheki 0714492946
Vikoi vizuri nicheki 0714492946
faharikisima_waterwelldrilling Ni kampuni ya uchimbaji wa visima vya maji safi na salama, kalibu tukuchimbie kisima kwa bei nafuu sana kwa maelezo zaidi piga 0656266008/0688156986 Water for life drill now
the kind of the results we are looking for. lets go together# start together# enjoy together# celebrate together#
WATOTO NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU LAKINI KUNA SABABU NYINGI ZINAZOPELEKEA MWANAMKE ASISHIKE UJAUZITO{MIMBA} AMBAZO NI:- - P.I.D sugu -Mvurugiko wa hedhi (hormone imbalance) -Uvimbe (Fibroids and ovarian cyst) -Endometriosis -Mirija kujaa maji au kuziba. TUNA SULUHISHO LA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME Pia tuna suluhisho la matatizo ya:- -Kutokwa harufu mbaya ukeni -Fungus sugu(Miwasho Ukeni) -U.T.I sugu -kukosa ute wa mimba (ovulation) -kukosa hamu ya tendo la ndoa -Ukavu ukeni -Maumivu wakati wa tendo la ndoa -Maumivu wakati wa hedhi KWA WANAUME TUNA SULUHISHO LA:- -Low sperm count -uume kukosa nguvu/kusinyaa wakati wa tendo la ndoa -Kushindwa kusababisha mimba -Maumivu ya korodani -Madhara ya kujichua -Kukosa hamu ya tendo la ndoa
OFFER OFFER OFFER OFFER............. @FANTASY_BEAUTY_PARLOUR @fantasy_beauty_parlour tunakupa bonge moja la offer msimu huu wa sikukuu ya Eid @Fantasy_beauty_parlour tutakufanyia SIMPLE MAKEUP kwa shilingi elfu kumi tu 10000// FULL MAKEUP Kwa shulingi elfu ishirini na tano tu 25000// Apa utapata na kope original kabisa 3D ambazo unaweza kubandika zaidi ya mara tano nabado zikabaki katika hali nzuri For all makeup bookings. Bridal, graduation, sendoff, kitchenparty Kidetii = and even BAE day= Plus a special package =
OFFER OFFER OFFER OFFER............. @FANTASY_BEAUTY_PARLOUR @fantasy_beauty_parlour tunakupa bonge moja la offer msimu huu wa sikukuu ya Eid @Fantasy_beauty_parlour tutakufanyia SIMPLE MAKEUP kwa shilingi elfu kumi tu 10000// FULL MAKEUP Kwa shulingi elfu ishirini na tano tu 25000// Apa utapata na kope original kabisa 3D ambazo unaweza kubandika zaidi ya mara tano nabado zikabaki katika hali nzuri For all makeup bookings. Bridal, graduation, sendoff, kitchenparty Kidetii ? and even BAE day? Plus a special package ? unapata. Makeup +professional photographer as well. Phone Numbers ? 0744066965 (Voda) ? 0718037429 (Tigo) TUNAPATIKANA MABIBO MWISHO
hello! kwa wateja wangu wote, kupitia media platforms kumekua na maombi ya kufanya challenge ya pamoja kwenywe zoezi la kupungua uzito. challenge accepted na tutakua tunaanza tarehe 28th may na kutakua na offer kabambe. usiachwe nyuma, huu ndo mda wa kufanya program pamoja. weight loss challenge itakua kwa watu wote. Anza kutoa taarifa mapema kabla ya tarehe 28 may . offer itakua kuregister kama VIP customer na kupata punguzo la Bei asilimia 15% badala ya kichukua program kwa Tshs. 320000/= utachukua kwa Tshs. 270000/= offer hii mwisho ni tarehe 25th kuregister. fanya mapema ili na wewe ufurahie offer hii kabambe lkn pia ufurahie weight loss challenge ya pamoja. karibu sana! mawasiliano ni kwa 0748318008/ 0755324799
hello! kwa wateja wangu wote, kupitia media platforms kumekua na maombi ya kufanya challenge ya pamoja kwenywe zoezi la kupungua uzito. challenge accepted na tutakua tunaanza tarehe 28th may na kutakua na offer kabambe. usiachwe nyuma, huu ndo mda wa kufanya program pamoja. weight loss challenge itakua kwa watu wote. Anza kutoa taarifa mapema kabla ya tarehe 28 may . offer itakua kuregister kama VIP customer na kupata punguzo la Bei asilimia 15% badala ya kichukua program kwa Tshs. 320000/= utachukua kwa Tshs. 270000/= offer hii mwisho ni tarehe 25th kuregister. fanya mapema ili na wewe ufurahie offer hii kabambe lkn pia ufurahie weight loss challenge ya pamoja. karibu sana! mawasiliano ni kwa 0748318008/ 0755324799
hello! kwa wateja wangu wote, kupitia media platforms kumekua na maombi ya kufanya challenge ya pamoja kwenywe zoezi la kupungua uzito. challenge accepted na tutakua tunaanza tarehe 28th may na kutakua na offer kabambe. usiachwe nyuma, huu ndo mda wa kufanya program pamoja. weight loss challenge itakua kwa watu wote. Anza kutoa taarifa mapema kabla ya tarehe 28 may . offer itakua kuregister kama VIP customer na kupata punguzo la Bei asilimia 15% badala ya kichukua program kwa Tshs. 320000/= utachukua kwa Tshs. 270000/= offer hii mwisho ni tarehe 25th kuregister. fanya mapema ili na wewe ufurahie offer hii kabambe lkn pia ufurahie weight loss challenge ya pamoja. karibu sana! mawasiliano ni kwa 0748318008/ 0755324799
hello! kwa wateja wangu wote, kupitia media platforms kumekua na maombi ya kufanya challenge ya pamoja kwenywe zoezi la kupungua uzito. challenge accepted na tutakua tunaanza tarehe 28th may na kutakua na offer kabambe. usiachwe nyuma, huu ndo mda wa kufanya program pamoja. weight loss challenge itakua kwa watu wote. Anza kutoa taarifa mapema kabla ya tarehe 28 may . offer itakua kuregister kama VIP customer na kupata punguzo la Bei asilimia 15% badala ya kichukua program kwa Tshs. 320000/= utachukua kwa Tshs. 270000/= offer hii mwisho ni tarehe 25th kuregister. fanya mapema ili na wewe ufurahie offer hii kabambe lkn pia ufurahie weight loss challenge ya pamoja. karibu sana! mawasiliano ni kwa 0748318008/ 0755324799
KOKI KOKI KOKI nauza KOKI kwa bei ya jumla Tshs 2700 kwa kila moja ...mikoani natuma Kwa wakazi wa darasa mzigo unaletewa popote ulipo... Simu 0657-929921
je unasumbuliwa na mende wadogo jikon kwako na umeshafanya sana fumigation na bado wanakisumbua au hawaishi kabisa?
nyumba inauzwa ipokigamboni mwongozo kiwanja ikijapimwa bei 23 milioni kwamaelezo tupigie 0783660772
Panya kwetu tunawadhibiti kwa urahisi kabisa na kukuacha na amani kabisa kwenye boma lako na hawatoi harufu kabisa.
tunauza viwanja vilivopimwa navisivo pimwa pia mashamba tupigie 0783660772
Northern Breeze Hotel inayopatikana Tabata Bima kituo Cha Dukani tunatoa huduma za vyakula vinywaji na malazi....Bei za vyumba ni 40,50 & 60 ni Bed and Breakfast pia ni free Wi-Fi usalama ni mkubwa pia tuna CCTV camera, Huduma za kuoshewa magari (car wash) na Parking zipo nk... karibu sana 0715693677
wadudu wote warukao na wanaotambaa tunawadhibiti kwa urahisi kabisa tena kwa gharama nzuri kabisa pamoja na kukupatia muda wa uhangalizi wa miez miwili.
nyumba inauzwa ipo kigamboni mwongozo bei 80 milioni kwamaelezo zaidi piga 0783660772
nyumba inauzwa ipo kigamboni mjimwema bei 75 milioni kwamaelezo zaidi piga 0783660772
nyumba inauzwa ipo kigamboni gezaulole kiwanja kimepimwa kinaofa hakijafikia kwenyehati bei 85 milioni kwamaelezo zaidi piga 0783660772
Tunatoa huduma ya fumigation majumban,mashulen,maofisin,godaun,na kila sehemu ambayo ina wadudu warukao na wataambaao. Tunakupa kilicho bora kabisa kwa uhakika na dhaman ya pesa yako.