Orodha ya biashara ndogo ndogo na za kati Dar
You need to login to be able to create your business profile
Three Ace Motors
Karibu three ace motors in mwanza tanzania
Karibu ujipatie gari kwa bei nafuu kabisa
Kwa mawasiliano zaidi piga no +255763 333 333 au Website yetu Three_ace_motors
Est: 2021,
Mwanza makongoro load
Viatu vya kike, kiume na Watoto.
Tunauza Viatu vya aina zote (kike, kiume na Watoto) Bei nafuu kwa jumla na Rejareja.
Est: 2020,
Mkoani kwa Bonanza
Sofa_kali_furniture
Tuna uza na kutengeneza sofa za aina zote vitanda meza na tv show kesi
Est: 2015,
Tegeta
Fruitzone
Fruitzone is a healthy services provider
We sale various of fruits?????
We sale Vegetables ???
We sale home and kitchen spices ????
We also provide healthy Tips Knowledge and care
.........?????Fruitzone Millions benefit
Est: 2019,
FRESH FRUITS ZONE
Husna Mangi
carpet gloBIDHAA NYINGINE NI CAPERT GLO.KAZI ZA CAPERT GLO1. Inasafisha sofa2. Inasafisha caperts 3 . Inasafisha seat za gari4. Inasafisha matress coverMATUMIZI YAKE * Unachanganya maji lita 5 na vifuniko vya capert glo 4 ambavyo havijawa changanywa na maji Kisha unapikicha hadi litoke povu na Kisha unapaka sehemu unayotakiwa kuosha
Est: 2020,
Tanzanite Park
JAMENAK GENERAL COMPANY LTD
Tunatoa huduma za Usafi wa aina zote,Tunatoa huduma za chakula katika taasisi,mahesabu ya TRA kwa mashirika, makampuni,na watu binafsi, pia tunakusaidia kusajili kampuni Brela, tunaandaa tenda na kuwasilisha kwa mifumo yote. Karibu sana tukuhudumie.
Est: 2021,
Kimara Mwisho
JAMENAK GENERAL COMPANY LTD
Tunatoa huduma za Usafi wa aina zote,Tunatoa huduma za chakula katika taasisi,mahesabu ya TRA kwa mashirika, makampuni,na watu binafsi, pia tunakusaidia kusajili kampuni Brela, tunaandaa tenda na kuwasilisha kwa mifumo yote. Karibu sana tukuhudumie.
Est: 2019,
Kimara Mwisho
Magodoro
Magodoro Aina na size zote
#spring
#orthpedic
#foam
Est: 2016,
Kibo,karibu na kabisa la gwajima
Kilimo Cha vitunguu na masoko
Mimi Ni mkulima ambaye nafundisha watu kulima vitunguu maji na kufanya biashara ya vitunguu
Est: 2017,
Tanzania
T-INFLUENCER
T-INFLUENCER is a freelance marketplace for services on demand. We have several categories,
Est: ,
freelance marketplace
Aza Book Shop
Pata vitabu mbali mbali vya mitihani kuanzia shule za msingi na sekondari na kwa shule za Academy vinapatikana.
Est: 2011,
Mbagala Rangi tatu
Kitchen Slayers
Kitchen Slayers tunatoa huduma ya chakula tunapatikana Masaki barabara ya Haile Selassie pembeni ya George & Dragon ndani ya Grandbazaar kiosi ya kijani
Est: 2021,
Masaki katikati ya new didiz na george & dragon
Events Transportation Services
E.T.S tunatoa full package ya huduma ya usafiri kwa ajili ya harusi,Send off nk.Pia tunatoa huduma ya usafiri wa Coaster kwa wale wanaotoka dar kwenda mikoan kwa ajili ya shughuli mbali mbali.
Est: 2021,
SURVEY
BF SUMA PRODUCT
Tunatoa tiba kwa magonjwa mbalimbali, tunazo dawa mbalimbali zilizotengenezwa kiasili kutoka kampuni ya bf suma ya kimalekani
Est: 2013,
Mabwawani
jojo food catering &deliveries
Tunapokea oder za vyakula na bites kila siku jumatatu -jumamosi pia tunapokea tenda za kupeleka vyakula maofisini na sherehe mbali mbali kama harusi,kipaimara,kitchen party, babyshower na nyingine nyingi ......
Est: 2021,
irenepamphil1@gmail.com
FedEx Express Tanzania
FedEx Express Tanzania tunasafirisha mizigo ndani na nje ya nchi popote dunian. Tunafanya pickup na express door to door deliveries pia tunafanya customs clearance. Bei zetu ni nafuu na za uhakika. Karibuni sana.
Est: 2018,
Mikocheni, Chato Street
Happy Times Beauty Affairs
Tunasuka nywele mitindo yote, tuna fanya make Up pamoja na kutengeneza kucha. Tuna pamba maharusi na sherehe za aina zote. Tupo Makumbusho Kituo cha ma bus. 0754455955
Est: 2020,
Makumbusho bus stand
VITANDA VYA CHUMA
karibuni Sana kwa huduma za furnitures za chuma, Kama vile vitanda vya chuma, mageti, madirisha, milango, na bidhaa zote zinazohusiana na chuma. tuwasiliane, 0653 155056 nipo kinondoni manyanya jirani na kinondoni Muslim.
Est: 2017,
robertmoshi93@gmail.com
Joe Fragrance collection
Wauzaji wa perfume za kupima aina zote kwa wanaume na wanawake
Est: 2021,
Joe fragrance collection
Ree_classic_store
Tunafanya manunuzi ya bizaa mbalimbali ndani na nje ya nchi kutoka kwa wholesalers yani viwandani kwa garama na guy.
Est: 2019,
Temeke
Dar es salaam natural coco
Tunauza madafu yenye ubora na matamu. Maji ya Madafu ni tiba na kinga kwa maradhi mengi tu katika mwili wako. Yanaongeza virutubisho muhimu mwilini na kusaidia kuufanya mwili wako hasa figo,moyo na ngozi yako kuwa imara.
Est: 2021,
Mariasili
Champion super furniture
utengenezaji wa vitanda vya sofa na uuzaj wa vifaa vya ofisini viti na meza
Est: 2021,
corner bar