Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
Vijora maua mapya yanashuka kila siku kwa mahitaji piga simu namba 0712997744
|
|
✨? OFFER?✨✨?OFFER?✨ 12% Off. Punguzo la 12% kwa bajeti yako ya keki ya harusi/send-off/Kitchenparty kwa msimu huu kuelekea mwishoni mwa 2021. 12% Ni kwa bookings 7 za mwanzo Kisha 5% Off kwa zingine zitazofuata. Maelezo/Bookings 0786670924 WhatsApp au tupigie 0769613321. Karibu Sana. WAHI kufanya Bookings yako mapema
|
|
kwa mawasiliano zaid tupigie kupitia namba 0744037298/WhatsApp namba 0782008563
|
|
Tunatoa.huduma za mafundi umeme wa majumbani viwandani,sorasystem,geneleta,pia nk wasiliana nasi kupitia 0757985814 kwa masaa 24
|
|
|
|
•ICT Solutions provider •We sell Event wristbands •Wireless service providers •Graphics & Printing solutions • Event electronic tickets
|
|
|
Habari.... Je una ndoto ya kua mpishi mzuri wa cake? una ndoto za kufungua biashara ya cake? Unahitaji kujiajili na kujiongezea kipato chako? Basi ofa hii si yakukosa Angies Bakery wamekulete karibu yako madarasa ya cake bora kabisa. 0752374145
|
|
wapendwa wateja wetu tunawaletea kifurushi kingine? combo moja matata sana inayokua na Beef pilau, two samosas or two money bags with salad. hii utaipata kwa kila siku za jumatano na ijumaa kwa sh.7000 tu karibu sana uweke oda yako mapema kwaajili ya ijumaa ya kesho ufurahie kitu very yummy??? 0752374145 @angiebakery
|
|
|
Tunatengeneza Madirisha ya aluminium kwa bei nafuu sana,wasiliana nasi kwa 0786120025
|
|
mageti mazuri kwa nyumba yako tupigie 0693645653/whtsp 0713456201
|
|
Inauzwa Toyota,petrol engine, out, in good condition, 3rz engine engine 25mlion
|
|
Tunauza mboga mboga,matunda (organic) na Mayai na kuku wa kienyeji Bei zetu ni nafuu na tunafanya delivery Tunapatikana Changanyikeni nyuma ya chuo kikuu cha Dar es Salaam karibuni sna wasiliana nasi +255713330803
|
|
Chaguo la kila mtu, chaguo la Watanzania? Sehemu pekee ya kupata kilicho bora kwa bei rahisi ya kupigwa na butwaa J U M L A - 4 5 0 0 / - T u R E J A R E J A - 8 0 0 0 / - T u Karibu sana tukuhudumie, hakika utafurahia huduma zetu ?Tunapatikana Makumbusho stand ?Wasiliana nasi ?? •0785060064 •0766303266 •0684134736 •0744055468 UKITUPA ODA YAKO NI CHAAP KAMA UPEPOO
|
|
Lita 1 sh. 7,000 Lita 3 sh. 17,000 Lita 5 sh. 30,000
|
|
OFA! OFA! OFA! Jipatie Boxer Premiem Quality? Kwa bei rahisi kwa Tsh 3500/= tu Tunakuletea popote pale ulipo ndani ya Dar es salaam (Free Delivery) Na ukitaka kwa Jumla pia zinapatikana Usichelewe OFA hii ni ya mda mchache tu. Tunapatkana ☟︎︎︎ #Chamanzi Uwanja wa mpira wa Azam Complex #K/koo Dar es Salaam Kwa mawasiliano zaidi Cont: +255 787 947 437 Instagram: @ybs.tz
|
|
T-PASSWORD LISHE Ni lishe bora kwa rika zote tunakufikia popote ulipo ndani ya Dar es salaam ni Free delivery. Pia mikoani tunatuma kwa uaminifu wa hali ya juu! Weka Oda yako sasa ujipatie ya kwako.Tuna lishe kwaajili ya Kijana, Mtoto na Mzee hakika hutojutia. Lishe ina Ubora wa viwango vya juu na Imethibitishwa na Wabobezi wa Afya. Mawasiliano: 0719920035 or 0712013097 (Both whatsapp and normal call) #T_PASSWORD Ufunguo wa Afya njema karibu tukuhudumie
|
|
|
HALA International Agency Ltd is a growing commercial cleaning and fumigation services provider located in Dar es Salaam Tanzania. We provide a range of cleaning services for commercial and industrial clients and we also work along with real agents in order to arrange end of lease clean ups for residential properties. HALA International Agency Ltd brings a fresh and professional approach to cleaning and fumigation services our goal is to exceed the expectations of every client by offering outstanding customer service, exceptional quality, and add greater value for the service. Contacts: Phone: 0769757305 Email: info@halainternational.co.tz
|
|
Karibunii sana wateja Tuna mafuta mazuri sana kwajili ya nywele, haya mafuta ni natural kabisa Nimazuri sana yanakuza nywele na kuzijaza kwa mda mfupi . Mafuta haya pia yanasaidia kwa ambae anawashwa ngozi ya kichwa ,mba mwingi ,basi mafuta hya ndio dawa yake. Mafuta ni ya uhakika na matokeo yake ni ya uhakika kabisa .
|
|
|
HALA International Agency Ltd is a growing commercial cleaning and fumigation services provider located in Dar es Salaam Tanzania. We provide a range of cleaning services for commercial and industrial clients and we also work along with real agents in order to arrange end of lease clean ups for residential properties. HALA International Agency Ltd brings a fresh and professional approach to cleaning and fumigation services our goal is to exceed the expectations of every client by offering outstanding customer service, exceptional quality, and add greater value for the service. Contacts: Phone: 0769757305 Email: info@halainternational.co.tz
|
|
|
|
inauzwa laki 2 pia tunazitengeneza friji na a/c tupigie 0688876065 au 0674912010
|
|
Shaza ? Original kabisa kutoka Burundi.. Sabuni nzuri sana kwa wanaoteseka na chunusi , madoa ya chunusi na mafuta usoni.. Anza kutumia leo hujachelewa. @ tsh 1,500/. Napatikana Temeke 0712 183071
|
|
Fundi friji na a/c tupo kigamboni pamoja na mwenge piga sm 0688876065 /au 0674912010
|
|
Fundi friji na a/c tunakutengenezea friji au a/c kwa bei lafiki kabisa tupo kigamboni pamoja na mwenge tupigie no 0688876065 au 0674912010
|
|
|
VIDEO SHOOTING AND PHOTOGRAPH, KARibuni wateja wetu. Bei ni nafuu sana
|
|
karibu kwa photoshoot, video shooting kwa Bei nafuu , na video production, tunakufanyia movie nzr lakin pia tuna edit movie
|
|
TUNAUZA SHOW CASE KWA BEI POA KWA MAWASILIANO ZAIDI WHATSAAP/ CALL 0755140499
|
|
KARIBUNI SANA WATEJA TUNAUZA SHOW CASE KWA BEI POA
|
|
|
karibun bakuli nzuri classic bei ni 30000 ndogo na kubwa 35000 watsap /call 0659859251
|
|
karibu ujiapatie khanga za Mombasa kwa 15000 rejareja na 13000 jumla ni kubwa hata mtu mnene anavaa vile vile ni nzito unaweza ukashona au ukajifunga tupo kariakoo msimbazi watsap namba 0673232420
|
|
karibu ujipatie miwani kalii kwa 25000 tu tupo kariakoo msimbazi dar tunafafanya delivery na mikoani tunatuma pia watsap namba 0673232420
|
|
bm master plan fundi side mirror location magomeni call 0692048228
|