Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
huduma ya home service inaendelea Rj technology tunakufikia popote ulipo ndani ya dar es salaam 0748027706 au whatsapp 0789684224
|
|
|
CURREN TZS 60,000 HAIPAUKI TAREHE HAINGII MAJI WARRANTY MIEZI 12 FREE DELIVERY KWA DAR
|
|
*AIRMAX* *SIZE 41-45* *PRICE 65,000* *LOCATION NARUNGOMBE NA MSIMBAZI* *KARIBUNI*
|
|
Epson printer head cable wire l220,380,382,383,386,390,3010,3050,3060,3070,3111,3150 Bado zipo zakutosha,Kokote ulipo zinakufikia, Call/Whatsap :0686886957
|
|
|
house decoration tz niwatengenezaji wa ulembo wa mjumban kwakutumia cement na supa Sina tunapatikana bunju kinondon dsm kwa mawasiliano Zaid tupigie 0717933983
|
|
Bluetooth speaker Ni ya kuchaji Tshs 27,000/= Tunatuma mikoa yote kwa gharama nafuu Call: 0686 886 957
|
|
Iphone 6s+ 450000 New 1 year warranty Quality with Trust
|
|
Tunatoa huduma ya chakula katika sherehe mbalimbali
|
|
Usiumize kichwa kutafakari ni kwa namna gani utafanya tafiti yako...tutembelee TCL tutakupa ushauri na msaada wa kitaalamu wa jinsi ya kuanza kufanya tafiti yako mpaka kuhitimisha...Huduma zetu ni Bora na ni za uhakika...wasiliana nasi leo kupitia WhatsApp/Normal calls/sms +255754244452 +255753169110 +255766211979 au tufollow instagram@Tafiti_consult_ltd
|
|
Laptop hard drive ipate leo kwa Tshs 60,000 tu. Call/whatsap 0686 886 957
|
|
kisonli USB computer and laptop speaker Tshs 22,000 Call: 0686 886 957
|
|
|
Mawasiliano Call/WhatsApp/text 0686 886 957 #Fundi#printer#photocopy#All brand#Epson master#canon#ricoh#kyocera#xerox#Brother
|
|
Karibu Chambuso General Supplier uweze kukutana na mafundi wa printer wenye uzoefu na uwezo wa hali ya juu katika kutatua matatizo mbalimbali ya printer yako, pia spea zinapatikana kwa bei nafuu sana bila kusahau tunatoa huduma ya kufata mteja mkoa wowote ule,karibu tukuhudumie Mawasiliano Call/WhatsApp/text 0686 886 957 @chambuso_general_supplier @chambuso_general_supplier #Fundi#printer#photocopy#All brand#Epson master#canon#ricoh#kyocera#xerox#Brother
|
|
Printer head cable wire for Epson L220,L380,L382,L386,L455,L555,L655,L3050,L3060,L3070,L3110,L3150, Call:0686886957
|
|
Tunatengeneza printer aina zote.Tunakujali na kukuthamini wewe mteja wetu,karibu ofisini kwetu uweze kupata huduma bora kabisa kwa gharama nafuu, pia tunatoa huduma yakufuata mteja mkoa wowote ulee,kama upo mkoani pia unaweza safirisha printer yako hadi ofisini kwetu, tunafika popote ulipo huduma zetu ni za uhakika, karibu tukudumie Fundi#Printer#Copier#Epson#Hp#Ricoh#Kyocera#Xerox
|
|
Karibu upate ushauri wa kitaalam wa namna ya kuandaa tafiti mbalimbali za elimu katika ngazi zote au tafiti za biashara...tuna uzoefu wa kutosha na huduma zetu ni za uhakika. Tutembelee leo upate huduma stahiki.
|
|
Karibuni ndugu zangu Asali mbichi lita1= 12,000/- nusu lita =6000 lobo lita = 3,000
|
|
Kwa Mahitaji ya Viwanja, Wasiliana na Pango Estate Agency. Tuna miradi ya viwanja maeneo Tofauti, Viwanja vyetu vyote Vimepimwa, Unaweza Kulipia Kidogo Kidogo. Call/WhatsApp 0758 672 833
|
|
|
karibu bmm shoes fashion kwa mahitaji ya sandals kali za ngozi kwa bei poa 0711838188
|
|
Tunauza na kununua pikipiki used aina zote kuanzia laki 4 na kuendelea zilizokuwa na docomment zake call 069223560
|
|
|
|
suluhisho la seat cavea Ni hapa tunashona set cava za magari Aina yeyote kwa Bei poa wacha kupoteza muda...hyper ndio kiboko .. tuko tabata segerea . coll 0787477784. watsup 0719558041
|
|
suluhisho la seat cavea Ni hapa tunashona set cava za magari Aina yeyote kwa Bei poa wacha kupoteza muda...hyper ndio kiboko .. tuko tabata segerea . coll 0787477784. watsup 0719558041
|
|
Tunauza vitenge bomba kutoka NIGERIA vyenye quality visivyochuja wala kupauka kwa bei nafuu kabisa Tunashona pia Tunauza jumla na Rejareja Duka lipo kinondoni Mkwajuni Yes! We deliver ndani ya dar es salaam na mikoani tunatuma pia Kindly visit our instagram page @ eleganz_fabrics_tz ? 0753295735 karibuni sana
|
|
kwa mahitaji ya perfum viatu na vipodoz aina zote nicheck 0713038188 napatikana bugurun rozana n b biashara Ni ya online karibun Sana kwa picha zaid waeza join kwa group kupitia link https://chat.whatsapp.com/B6o4GDhNTAMFvN5gYTdXgu
|
|
tunafanya mabadiliko ya muonekano wa gari yako Kwa Aina mbali mbali (Car Interior modification) kwenye vitu vyote vya ndani ya gari lako Kwa gharama nafuu xana
|
|
|
tunaagiza magari toka Japan/Dubai/UK Call/whatsap 255716384958
|
|
mapazia set sh 80,000 ukubwa mt 1.5 pazia 2 zito 1.5 moja nyepesi Mt 2 ni zakushona
|
|
|
|
Jipatie handbags kwa bei poa kabsa jumla na rejareja. Tupo Kariakoo mtaa wa nalungombe lkn pia tunafanya delivery #0673032179
|
|
Kwa huduma ya ulinzi usisite kuwasiliana nasi ofisi duka nyumba binafsi na biashara nk 0712138841 0755721511
|
|
Karibuni kwa huduma za furniture za ndani na za njee kwa bei nafuu kabisa tucheki whatssap 0710675729
|
|
Tunauza matairi ya magari aina zote karibuni sana! tunapatikana kariakoo au tupigie simu 0685606672
|