Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
THE GHOST SEHEMU YA PILI {2} Baada ya vijana hao kuaga na kwenda kupumzika huku kila mmoja akiwa na majibu ama maswali yake kichwani maswali ambayo hayana majibu kila mmoja alienda alipo ona ni stahiki yake kwenda kupumzika. Muda ulienda adi palipo pambazuka na ilipo timu saa kumi na moja alfajiri 11:00 kila mmoja alianza kujiandaa kwa ajili ya safari yao inayo endelea. Ilipo wadia saa kumi na mbili 12:00 asubuhi safari yao ili anza ya kwenda mkoa wa MANYARA taratibu safari ilikuwa inasonga huku wengi wakiwa wanauchovu wa usingizi adi ilipo fika saa mbili asubuhi costa waliyo panda iliwasili katika mji mdogo uliopo katika mpaka wa mkoa wa Manyara na mkoa wa Arusha hapo ndipo ilipo njia ya kwenda katika hifadhi ya Taifa ya Tarangire ilo eneo lilijulikana kama MINJINGU walipo fika hapo walipumzika na kuanza kushangaa shanga maana ilikuwa ni siku ya jumapili na palikuwa na gulio dogo la wafugaji. Vijana hao walishuka na kuanza kutembea huku na kule na kutazama namna gani ambavyo biashara na maisha ya hapo jinsi yanavyo enda. Walikaa yapata masaa mawili hapo na kuamua kuondoka ilikuwa ni saa Nne ya asubuhi 4:00 na kuendelea na safari yao mwendo haukuwa mkali sana kwasababu kutoka hapo MINJINGU adi kufika katika mlango wa geti la hifadhi yapata kilometa saba. Walitumia dakika 50 adi kufika katika geti kuu la mlango wa kuingia hifadhini hapo walipokelewa kwanza na askari wa eneo ilo na utaratibu mwingine ukafata ili waweze kuingia hifadhini na walipo maliza walibadilishiwa gari na kuacha gari lao katika usimamizi wa hifadhi na kukabdhiwa kwa dereva muongoza watalii ndani ya mbuga iyo. Dereva wa gari ilo alifahamika kama prospa michael na muelekezaji alifahamika kama jumanne shabani Katika kundi la vijana kumi na sita alichaguliwa johnas kuwa ndiye msemaji na mrekebisha mipango kwa kila jambo litakalo jitokeza akishirikiana na msichana Debora. Mpango wa kwanza uliopo johnas alimueleza dereva awapeleke katika hotel maarufu iliyopo hapo ndani ya hifadhi iliyo fahamika kama SOPA. Dereva alifanya ivyo kama ilivyo kuwa wajibu wake na hawakuchukua muda mrefu waliwasili hapo na muongoza wageni aliwafikisha adi sehemu ya mapokezi na kwakuwa walisha fanya booking mapema katika hotel iyo ya kitalii walipo fika mapokezi walijitambulisha na muhudumu ndipo alipo wapeleka kila mmoja na mwenza wake katika vyumba ambavyo walivyo kwisha vichagua. Siku iyo vijana hao hawakutoka kabisa njee ya jumba la hotel na ilipo timu saa kumi na mbili ya jioni vijana hao walijianda na kujikusanya pamoja na kukaa njee kwakuwa siku iyo ilikuwa ni julay tano ilikuwa ni siku kati ya miongoni mwa vijana hao ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa. Waliandaa na kuweka mipango yote sawa ilipo timu saa moja kamili burudani ikaanza huku wakiimba nyimbo za kumsifu mwenzao kwa kutimiza umri wa miaka Thelathini. Harakati za hapa na pale ziliendelea huku wakifata taratibu za hifadhi ilipo timu saa Nne na Nusu tafrija ilikuwa inaendea ukingoni maana walipanga tafrija ianze saa moja kamili na kuisha saa Tano kamili zilibaki kama dakika thelathini ili wamalize tafrija yao... Kijana aliye kuwa akifanyiwa tafrija hiyo na wenzake alifahamika kama sebastian mushi huku akiwa ameongozana na mpenzi wake christina swai wawili hao waliongoza kila walipo kuwa wakienda huku muda ulizidi kwenda adi ilipo timu saa Nne na dakika hamsini kwakuwa walikuwa wamekunywa pombe nyingi christina alimuomba mpenzi wake ampeleke maliwatoni ili akajisaidie walipo kuwa wakitoka na kwenda katika eneo la vyoo vya public njiani walipishana na mtu mmoja aliye kuwa amevaa mavazi yenye rangi nyeupe na kitambaa chekundu kichwani lakini sebastian alimtazama sana uyo mtu kwakuwa alikuwa akimtolea macho christina ndipo ule usemi ulipo kamilika abiria chunga mzigo wako. Walifika adi chooni na christina aliingia chooni huku sebastian alibaki njee kwakuwa alienda mahala amabapo wanaume hawatakiwi kufika lakini baada ya janet kuingia ndani kama sekunde Nne au Tano ghafra ilisikika kelele kali ikitoka katika mlango wa choo alicho ingia christina kelele ambazo zilimfanya sebastian kutaharuki na kuingia katika vyoo vya wanawake ilikujua ni jambo gani lililo mfika mpenzi wake na alipo ingia wa limkuta christina akiwa amekaa chini huku akiwa anatetemeka, uongozi wa eneo ilo pia ulifika pamoja na timu ya ulinzi ilikujua tatizo liko wapi baada ya sebastian kuingia chooni na kumuona mpenzi wake akiwa amekaa chini huku akitetemeka alimchukua na kumuinua haraka na kumtoa katika eneo hilo na hapo ndipo timu ya usalama pamoja na uongozi wa eneo hilo walifika kwa haraka zaid na kuanza kutoa huduma ya kwanza lakin wataalamu walipo mtazama binti uyo walibaini kuwa amepoteza fahamu lakini chakushangaza anaonekana kuwa anatetemeka mwili huku akitokwa na jasho jingi kwakuwa hotel iyo ilijikamilisha kwa kila jambo msichana huyo alipelekwa adi katika eneo la matibabu na kuanza kupatiwa udumu masaa machache mbele christina alipata fahamu na ile hali ya kutetemeka ili mwisha kwakuwa muda ulikuwa umekwenda doctar aliye kuwa akimtazama christina alimshahuri sebastian asimulize kitu chochote kile christina adi patakapo pambazuka ili ampe muda wa kutulia na kuifanya akili ya binti uyo ifanye kazi kwa ufanisi zaid. Siku iliyo fata asubuhi na mapema vijana kumi na nne walijianda na kwenda kumtazama sebastian huko sehemu ya matibabu mahana alibaki huko kwa ajili ya kumlinda mpenzi wake. Walipo fika waliwakuta wawili hao wakiwa wanaongea na doctar huku wakimuona christina akiwa na tabasamu la furaha na sebastian akionekana mwenye amani moyoni walipo waona wenzao walifurahi maana jana usiku hakuna aliye pata usingizi maana hakuna aliye jua sababu ya christina kupiga kelele na kukutwa amekaa chini huku akiwa anatetemeka na kutokwa na jasho jingi angalikuwa alikuwa amepoteza fahamu. Wote walitoka hapo na kwenda katika vyumba vyao na wakajiandaa kutoka kwa maana hapo SOPA walitaji wakae kwa muda wa siku moja tu halafu furaha zao wataenda kumalizia katika maeneo mengine ya buradani dereva alifika na kijana muongoza watalii nae alifika huku wakiongezewa na askari wa usalama wa hifadhi,wanyama na watalii walipo toka kila mmoja alikuwa na duku duku kutaka kujua kilicho tokea jana usiku,walivuta muda kidogo adi gari lilipo toka njee kabisa ya eneo la hotel na safari yao kuanza johnas alimuelekeza dereva watafutiwe eneo linalo fahamika kama special campsite kwa ajili ya kwenda kutulia huko ili mambo mengine yafate lakin kabla ya kufika huko walipelekwa sehemu tofauti tofauti kwa ajili ya kutazama wanyama kusema kweli kila mmoja mawazo yalimtoka baada ya kukutana ama kuona wanyama wengi nawakuvutia katika hifadhi iyo ya wanyama hifadhi ya taifa ya tarangire wakiwa katika hali ya utalii ghafla askari aliye kuwepo kwa ajili ya usalama alimuomba dereva na watu walio ndani wafunge madirisha na dereva a lock madirisha na milango watu wote ndani ya gari walifanya ivyo na dereva aka lock kabisa hakuna kitu kuingia wala kutoka lakini kati yao hakuna hata mmoja aliye fahamu kwanini askari uyo katoa amri kama iyo baada ya hatua chache mbele askari alimtaka dereva asimamishe gari ilo na dereva nae akafata hapo walipo kuwa hawakuwa mbali sana na eneo la uwanja wa ndege uwanja unao milikiwa na hifadhi Mmoja kati ya hao vijana kumi na sita alimuliza askari....kwanini umeamuru vioo vya gari vilokiwe na kuamuru pia gari lisimamishwe kwani kuna tatizo gani.....? Askari aliye fahamika kama moses willfred alimtazama kijana uyo huku akiwa anatabasamu na kumuuliza unaitwa nani.? Kijana uyo alijibu kuwa anaitwa moses william askari aliongeza tabasamu na kumwambia kuwa wewe ni wajina wangu kwakuwa mimi pia nina itwa moses lakini kuhusu swali ulilo uliza subiri utajua kwanini nimeuliza kabla hawaja endelea ghafla walianza kusikia vishindo huku nyasi kavu zikiwa zinasagana kwa nguvu.. Wote waliopo ndani ya gari ilo walitazama upande wa kushoto kulipo kuwa zikitokea fujo izo ghafla lilikatiza kundi la nyumbu wasio pungua kumi ama kumi na tano....... binti moja alisimama na kutazama lile kundi la nyumbu baada ya kusimama alisikika kijana mwingine akisema wewe janet ebu kaa chini unashangaa nyumbu..! baada ya kijana uyo kusema ivyo alisikika binti mwingine akimjibu aliye mwambia janet akae chini aache kushangaa nyumbu sauti ilisikika ikisema wewe Nickolas kwani huku tumekuja kufanya nini kama sio kushangaa wanyama....! wote ndani ya gari walicheka lakini kabla hawaja endelea na jambo la aina lolote lile walisikia mvutano mkali huku kitu kikifoka kwa hasira na hapo ndipo yule askari alipo sema- sasa subirini ili muone na mjue nilikuwa na maana gani kusema vioo vifunge na gari lisimamishwe.....wakati askari uyo anasema ivyo ghafla alitokea nyoka mkubwa mwenye urefu usio pungua mita kumi na tano au zaid ya kumi na tano akiwa amembana nyumbu na kuitaji kummeza kila mmoja ndani ya gari alibaki mdomo wazi kwa kushuhudia kiumbe mkubwa kiasi hicho na nyoka huyo kwa makusudi akasimama mbele ya gari na kuanza kumbana kwa kumviringisha nyumbu uyo kwa hasira kila mmoja ndani ya gari alishuhudia namna gani nyoka mkubwa mwenye uwezo wa kumeza mnyama kama nyumbu. Nyoka uyo alikuwa na hasira na alimbana nyumbu uyo na kuanza kuvimba huku akiwa anaachama mdomo na kuanza kumlamba lamba nyumbu uyo huku akimbakiza na mate baada ya kufanya ivyo nyoka uyo alianza kummeza nyumbu uyo taratibu kabisa bila hata haraka wala uwoga wowote ule. Ndani ya gari paligubikwa na utulivu mkubwa usio wa kifani huku askari akiwasii wote watulie na asitokee hata mmoja kati yao akapiga kelele maana viumbe wa aina iyo huwa wanachukia kelele tena akiwasii zaidi kuwa nyoka wa aina iyo wanauweza wa kula nyumbu hata wawili na wakawa na nguvu ya kuendelea kutambaa kwa nguvu kama ajala kitu chochote kile. Dakika zisizo zidi wala kupungua nne nyoka uyo alikuwa amemmaliza nyumbu uyo na kutaka kuanza kuingia vichakani lakini kwa bahati mbaya kuna kijana mmoja aligusa batani ya alarm iliyopo pembeni yake na alarm iyo ikatoa mlio mlio ambao ulimfanya nyoka yule kugeuka na kutazama mlio uo unatokea wapi.......? Je unafahamu ni kipi kilicho endelea.....? Usikose kufatilia kisa hiki cha kusisimua. Kuburudisha na kuelimisha ndani ya Simulizi zetu tz Written by Said khoja {S.K}
|
|
THE GHOST SEHEMU YA KWANZA [1} POPOTE UENDAPO NIPO.CHOCHOTE UTACHO KULA TUTAKULA PAMOJA.KILA HATUA UTAYO PIGA NAMI NITAKUWA KARIBU YAKO SITOKUACHA ADI KUFA KWAKO.....................................................? Ni sauti iliyo sikika katika masikio ya JOHNAS kijana mwenye umri wa miaka thelathini akiwa katika safari ya kwenda kutalii katika mbuga za wanyama mkoani MANYARA akiwa na wenzake walio jichanga na kuamua kufanya utalii wa ndani. JOHNAS alikuwa ni kijana wa mzee matiko mwenyeji wa mkoa wa mara JOHNAS alikuwa ni kijana wa ki kuria aliye changanya na kabila la kisukuma. Johnas akiwa safarini wakati wapo katika eneo la segera mkoani tanga walipo fika njia panda inayo ongoza magari ya kwenda Tanga mjini na magari ya kwenda mkoani kilimanjaro. Johnas hakuwa amelala ila aliweza kusikia sauti ikipenya katika nyuzi za masikio yake. Kijana huyo alitazama kushoto na kulia ili kutazama sauti iyo ilikuwa imetoka wapi na kuna wengine tofaut na yeye aliyeweza kuisikia sauti iyo... Lakini johnas kila aliye mtazama aliona kuwa wapo busy na mambo yao wengine walikuwa wamelala na wengine walikuwa wanasikiliza muziki na wengine walikuwa wanaongea tu johnas baada ya kuona ivyo aligundua kuwa sauti aliyo weza kuisikia hakuna mwingine aliye weza kuisikia zaidi yake. Lakini kwa akili za kawaida johnas hakuweza kulitilia maanani jambo ilo kwakuwa alihisi labda ni redio iliyo kuwa ikiongoe labda kuna neno liliongewa linalo shabihiana na ilo na johnas akaamua kulipuuzia. Wakat safari inaendelea johnas akiwa ametulia ghafla konda aliye kuwa pamoja na dereva wa gari ilo alibadili muziki na kuamua kuweka tamthilia lakini watu walio kuwa ndani ya ilo gari akiwemo johnas mwenyewe hakuna aliye kuwa busy na kutazama tamthilia iyo kila mmoja alikuwa na mambo yake binafsi lakini muda ulivyo enda ghafla katika tamthilia iliyo weka ilisikika sauti ya mtu iliyo sema POPOTE UENDAPO NIPO.CHOCHOTE UTACHO KULA TUTAKULA PAMOJA.KILA HATUA UTAYO PIGA NAMI NITAKUWA KARIBU YAKO SITOKUACHA ADI KUFA KWAKO.....................................................? Johnas aliweza kulisikia ilo neno kwa mara ya pili katika tamthilia iliyo kuwa imewekwa hapo. Johnas alitoa wasi na kuona kuwa ni maneno ya kwenye tv au redioni. Safari iliendelea adi vijana hao walipo fika mkoa wa Arusha na kuamua kupumzika ili kesho waianze tena safari ya kwenda mkoa wa Manyara.Malengo na dhamira ya vijana hao ilikuwa ni kwenda kutembelea hifadhi ya taifa ya MANYARA na TARANGIRE zilipo ndani ya mkoa huo wa manyara. Timu ya vijana hao ilikuwa yapata vijana kumi na sita na walijigawanya vizuri tu vijana wa kiume walikuwa Nane na vijana wa kike pia walikuwa Nane lakini konda pamoja na dereva wake wao walikuwa wapo kama walivyo. Baada ya kufika katika mkoa huo wa Arusha vijana hao hawakuwa na malengo ya kwenda kutafuta hotel ya kujihifadhi lakini waliona watoke njee ya mji ili wapige kambi ya muda adi patakapo pambazuka waweze kuendelea na safari yao. Vijana hao walisogea karibia adi kabisa na kambi ya jeshi ya monduli na kuamua kupiga kambi katika eneo ilo lililo zungukwa na miti na vichaka vidogo vidogo na palikuwa na myumba za wafugaji zilizo zunguka eneo ilo. Ilikuwa yapata saa mbili ya usiku tangia wafike hapo na kutafuta wenyeji na kuweza kupata ruhusa ya kufanya vile ambavyo wanaitaji kufanya, ilipo timu saa tatu kamili ya usiku 3:00 vijana hao walikuwa wamesha weka mahema na kuwasha moto na viajana hao walikuwa machachari kweli maana walisha tafuta mbuzi na kumuandaa kwa ajili ya nyama choma.usiku huo ulikuwa ni usiku wa furaha maana hawakuwa peke yao pia walipata na baadhi ya wenyeji wasio dhidi sita na kujumuika nao kwa pamoja ili wasijihisi wanyonge lakini wakat mambo yanaendelea huku wakiwa wanaimba na kucheza huku wengine wanakunywa na kula ghafla kuna kijama mmoja waki morani jamii ya masai aliongea neno huku akiwa anaruka ruka na mkononi akiwa ameshika kipande cha nyama kijana uyo alisema >POPOTE UENDAPO NIPO.CHOCHOTE UTACHO KULA TUTAKULA PAMOJA.KILA HATUA UTAYO PIGA NAMI NITAKUWA KARIBU YAKO SITOKUACHA ADI KUFA KWAKO..................................................... Saut ya kijana uyo ilipita katika kila nyuzi ya masikio ya kila mmoja aliye kuwa hapo msichana mmoja aliye fahamika kwa jina la deborah alimuliza kijana huyo wa kimasai kuwa ana maanisha nini.....? Kijana uyo alicheka kisha akasema nina maana ya kwamba sito iacha asili yangu popote pale nitapo enda nitajitambulisha kuwa mimi ni masai kwa kuziendeleza mila tamaduni na desturi za ki masai hasa kwa mavazi na mitindo ya maisha tunayo ishi. Kutokana na lile neno jinsi kijana uyo wa ki masai alivyo tamka kila mmoja alipatwa na mshangao lakini baada ya kutoa jibu ilo kila mmoja alicheka na kuendelea kufanya kile alicho kuwa anafanya. Ilipo timu saa saba kamili 7:00 ya usiku dereva na konda wake wao walianza kuaga kwenda kupumzika nao waliongozana adi ndani ya gari na kila mmoja kushika nafasi yake. Kadri muda ulivyo kuwa unasogea ndivyo kila mmoja alivyo kuwa anaaga na kwenda kupumzika adi ilipo timu saa tisa na robo 9:15 ya usiku asilimia kubwa ya vijana hao walisha kuwa wameenda kupumzika na hapo njee walibaki vijana wanne pamoja na vijana wawili waki masai jumla walikuwa sita. Apo njee alibaki johnas,debora,Nasra,idris na hao vijana wawili waki masai alikuwa deogrus pamoja na franky Hadithi zilikuwa zinaendelea hasa hao vijana waki masai walikuwa waki adithia namna gani wanaweza kuingia msituni na kufanya mawindo pasipo kuwa na hofu na wanyama wakali kijana aliye fahamika kama franky ndiye kijana aliye ongea wakati ule wanaimba na kucheza na kila mmoja akatahamaki ila baada ya kueleza lile neno lilikuwa na maana gani na watu kuanza kucheka na kuendelea na shughuli zao ndio kijana aliye kuwa anatoa story hasa wanafanya vipi mawindo wakiwa porini. Nasra alimuliza franky swali ambalo kila mmoja alicheka. Nasra: iv franky samahani kwa mfano upo porini alafu ukachelewa kurudi nyumbani adi usiku ukakukuta ukiwa porini iv utafanya nini utarudi nyumbani au utatafuta sehemu ya kulala huko huko msituni..........? Kila mmoja alicheka na Debora akamwambia Nasra huku akiwa anaendelea kucheka Debora: iv wewe nasra ukiwa porini utaweza vip kutafuta sehemu ya kulala kwani kuna nyumba huko au gest house..? Jibu alilo jibu Debora kwa kumuuliza Nasra lilizidisha vicheko kwa kila mmoja lakini kijana mmoja waki masai alisema huku akiwa anawatazama. Deogrus: Ni kweli lakini jambo alilo ongea au kuuliza Nasra sio jambo lakijinga japo kuwa mmelipuzia Na ningependa kuwa eleza kuwa ukiwa porini au msituni lazima kwanza ufahamu namna gani ambavyo utaweza kujilinda aitojalisha ni kwanyakati gani au upo wapi na upo na nani ukisha fahamu ilo nina imani ni ujasiri tu na kukubaliana na kila jambo litakalo jitokeza mbele yako maana msituni sio wanyama wakali tu mbali hata binaadamu wakali pia wapo...... Baada ya Deogrus kusema ivyo kila mmoja alimtazama mwenzake huku wakiwa wana maswali vichwani mwao kuna wanyama wakali sawa je na hao binaadamu wakali ni akina nani.............? Ilo ni swali ambalo kila mmoja wao alibaki nalo kichwani na kukosa majibu na kuamua kuaga na kutakiana usiku mwema ili wakapumzike na wajiandae kwa safari ya kesho...... Je unafahamu Deogrus kijana wa ki masai alikuwa na maana gani.......? Usikose kufatilia kisa hiki cha kusisimua ndani ya Simulizi Zetu Tz Written by said khoja {S.k}
|
|
|
Hili sofa niliinunua GSM Mliman city, now naiuza nimekaa nayo miezi 5 kwa matumizi ya ofisi but home pia unaweza chukua Original price was 1.5M but ukiwa na 500,000 naweza kukuuzia Nicheck whasap 0764854646
|
|
|
Karibuni emoj Ubuyu Tunauza kwa pakti,kilo,sado na ndoo.Ladha(flavors)zipo za Maziwa>[,Chocolate
|
|
Karibuni emoj Ubuyu Tunauza kwa pakti,kilo,sado na ndoo.Ladha(flavors)zipo za Maziwa>[,Chocolate
|
|
Karibuni emoj Ubuyu Tunauza kwa pakti,kilo,sado na ndoo.Ladha(flavors)zipo za Maziwa>[,Chocolate
|
|
KWA MAHITAJI YA SOFA COVERS WHATSAP US 0678038244 SET MOJA (3,2,1)=150,000/= KWA WATEJA WA DAR ES SALAAM NA 160,000/= KWA WATEJA WA MIKOANI.
|
|
shuka 2 foronya 4 futi 6x6 cotton nicheki nikuletee popote ulipo 0654708350
|
|
karibu sana mint & basil fresh zinapatikana kwa mawasiliano no 0763257954
|
|
karibuni dagaa fresh kabisa kutoka mwanza ni watamu wamekaangwa hawana michanga kabisa karibuni sana
|
|
Samsung Galaxy S6 Edge Brand new full boxed 290,000/= Gold in color 32Gb Ram 3Gb Duka letu lipo Makubusho Bus Stand 0687505220
|
|
|
*KWA MAHITAJI YA SOFA COVERS KARIBU TUKUHUDUMIE. *WHATSAP 0678038244 *SET MOJA 3,2,1 =160,000/=
|
|
New and original iPhone zipo Dukani kwetu| karibuni sana tupo Mwenge| piga simu tukuelekeze ili uweze kufika| BEI NI 950,000/= IPO SEALED MPYA KABISA| STORAGE: 64 GB
|
|
Habari! Karibu KinjeJuniorFashions Tunajihusisha Na Uuzaji Wa Nguo, Viatu, Mikoba, Kofia Na Aina Mbali Mbali Za Fashions Kwaajili Ya Watoto, Vijana Na Wazee. Tunafanya Delivery Popote Tanzania Na Utalipia Baada Ya Kupokea Mzigo, Gharama Za Bidhaa Zetu Ni Rahisi Sana Tuko Mbande{Mbagala} Umbali Mdogo Sana Kutoka Ulipo Uwanja Wa Mpira Wa Klabu Ya Azam FC Yaani Azam Complex Na Pia Tuko Facebook Na Instagram Kwa Jina La KinjeJuniorFashions Tufollow Kujisogeza Karibu Zaidi Na Huduma Zetu, Ahsante.
|
|
JE WEWE NI MTU AMBAE UPO BUSY SANA MPAKA UNAKOSA MDA WA KUFUA???? USIJALI LIPO SULUHISHO KWA AJILI YAKO,, KARIBU UJIPATIE SABUNI YA ASILI INAYOFUA YENYEWE HUNA HAJA YA KUFIKICHA NGUO UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULOWEKA NGUO ZAKO KWA MUDA WA MASAA 3 HAD 4 AU KULOWEKA USIKU NA BAADA YA HAPO ASUBUHI UNASUUZA NA KUANIKA NGUO ZAKO NA ZINANGAA VIZURI _HAIPAUSHI NGUO _ HAICHUBUI MOKONO _MAJI YAKE UNAYOFULIA NI MBOLEA NZURI SANAAA KWA MIMEA _HAINA KEMIKALI NI YA ASILI ...KARIBU TUKUHUDUMIE WASILIANA NAS KWA,,,,,,,,,,0659794259,,,WHATSAP NA KAWAIDA TUNAKUFIKIA POPOTE ULIPO IPO KIANZIA YA 1000 MPAKA YA 95000
|
|
JE UMEKUA NA CHANGAMOTO YA FRIJI LAKO KUWA NA SHOMBO ZA VYAKULA NA HUJUI NINI UTATUMIA KUONDOA SHOMBO KWENYE FRIJI??USIJALI KARIBU UJIPATIE BIDHAA BORA YA ASILI ITAKAYOKUSAFISHIA FRIJI LAKO NA KUKUONDOLEA SHOMBO KATIKA FRIJI LAKO KARIBU UNAPATA KWA 15000 TU,, WASILIANA NASI KWA,,,0659794259,,, WHATSAP NA KAWAIDA TUNAKUFIKIA POPOTE ULIPO
|
|
baby pants zipo za size zote Bei 15000 kwa mawasiliano piga :0717166535
|
|
|
kwa mahitaji ya pampers nzuri kwa mwanao njoo ujipatie kwa Bei nafuu call. 0717166535
|
|
Tunazo pampers wipes pads pia tunazo pampers bkwa ajili ya wat wazima Kwa mawasiliano piga 0717166535
|
|
Tsh.10000/= tu unanukia vizuuri perfume hii n nzurii agiza sasa toka kwetu tukuletee mahali popote ulipo buree kabisaa
|
|
|
|
Karibu Sana, Ofisi zetu ziko mbezi kwa msuguri. Tunauza viwanja vizuri vilivyopimwa. Tunafanya kazi kila Siku. Ukianza Safari ya kuja tujulishe. Garama ya kupelekwa site ni elfu kumi tuu.0659 972868/ 0759 461893
|
|
|
JE UNATAMANI KUONA VITU VYAKO KAMA -KAVA LA GODORO(MATRES) - SEAT ZA GARI - CARPET -SOFA VINANGAA MUDA WOTE KAMA VIPYA NA HUJUI NINI KITAKUSAIDIA??? EPUKA GHARAMA OKOA MUDA TUNA BIDHAA BORA NA ZINAZOFANYA KAZI BILA KUMWAGIA MAJI VIFAA VYAKO... NDANI YA DAKIKA 45 UTAENDELEA KUTUMIA VIFAA HIVYO KWANI UNATUMIA POVU TU NA VITARUDI KUWA KAMA VIPYA KARIBU UWEKE ODER YAKO KWA SIMU NAMBA 0659794259 POPOTE ULIPO TUTAKUFIKIA
|
|
|
Viatu Bei ni 60 ni .org Size 37,38 Kinondon studio Call 0719686062
|
|
Wapendwa wakazi wa Dar es salaam, Kigamboni na kote, karibuni sana Tuleeswear- Kigamboni, mnadani mjipatie nguo kali za kike za mtumba, kwa bei nafuu kabisa. Duka linakua wazi kila siku ya jumatatu hadi jumamosi kuanzia saa 8:30 asubuhi mpaka saa 19:00 jioni. Na siku za jumamosi kwa wateja wetu watatu wa kwanza kufika dukani na kununua nguo 2 watajipatia moja buree. Karibuni sana 0742 060910
|
|
blender heavy duty inapatikana kwa Bei ya 120000 tu original kabisa Kenwood na silver crest chaguo n lako. ukihitaji nichek kwa 0676324688 watsap au normal text/ call tunakufikishia mpaka ulipo
|
|
Karibu Sana, Ofisi zetu ziko mbezi kwa msuguri. Tunauza viwanja vizuri vilivyopimwa. Tunafanya kazi kila Siku. Ukianza Safari ya kuja tujulishe. Garama ya kupelekwa site ni elfu kumi tuu.0659 972868/ 0759 461893
|
|
Bima Chapu Chapu..tupigie tukuhudumie au kukupa ushauri kuhusu Bima:tunatoa Bima za Haina zote
|
|
Kwa mahitaji ya vyakula mbalimbali utapata kwa haraka.karibu mteja nikuhudumie popote ulipo tunakufikia.Delivery service inapatikana.
|
|
mashuka nimazuri sana bei 25000 size: 6x6 mteja akinunua shuka zaidi ya tatu atapelekewa bure popote alipo watsapp: 0654708350
|
|
tuna kuletea popote ulipo kwa beii na tunauza jumla na reja reja
|
|
shuka mbili foronya nne beii 50k size 6x6 shuka moja foronya mbili beii 25k size 6x6
|
|