Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
|
|
Hii ni Router ya tofauti na tulizoea, ni Router bora kabisa kwa matumizi ya ofisi au Nyumbani. Hii inakuja na Bettry ndani hupati shida hata umeme ukikatika unaendelea kupata Internet kwa sababu ina betry yake ndani inakaa na charge kwa mda mrefu. na kwa wale wapenda ku download au kucheza online Games hii Router ndio solutions yenyewe. Unapata speed ya Internet bila kukwama Unaipata kwa Tsh 220,000/= Tunapatikana Dsm Mbezi beach Africana 0735907555 au 0757907555
|
|
Gojeho Travel: Tunakodisha magari aina zote kwenye Send off,, Harusi,, Kwenye makampuni au Masirika mbali mbali ,,, Tunatoa Huduma zetu kwa ubora karibu tukuhudumie. Kukuhudumia ndio fahari yetu.
|
|
FreshAllDay Tshirt new collection available now kwa bei poa kabisa ya TSh 15K tuh
|
|
UPDATE YOUR SWAGG KWA KUVAA TSHIRT YA FRESHALLDAY NOW KWA BEI POA KABISA YA 15K ZIPO KILA RANGI NA KILA SIZE NAPOKEA ORDER YAKO YA NDANI YA DAR ES SALAAM NA MIKOANI PIA TUNATUMA WASILIANA NASI KWA 0677203250 KARIBUNI SANA NA ASANTE KWA SAPORT YAKO Copyright@freshallday_brand #FreshAllDay4Life4Ever
|
|
Njoo ujipatie viatu vikali na kwa bei poa njoo tukupendezeshe
|
|
Mafunzo ya Graphic design. Jiunge na mafunzo ya graphic design. katika kozi hii utajifunza mambo mbalimbali kama kutengeneza vipeperushi, business card, logo, vyeti, mabango, vitambulisho, kava za vitabu, posters, Flayers na mengine mengi. Pia utapewa na offer ya program ya adobe photoshop bure kwa ajili ya kujifunza kwa vitendo.karibu jiunge leo kwa offer ya punguzo la asilimia 50. kwa mawasilisno zaidi piga +255 717850979
|
|
Juice Bar ni watengenezaji na wasambazi wa juices na smoothies ain zote, agiza kiasi chochote utakacho na tunafanya delivery free kwa maeneo ya karbu. Tunatengeneza juice na smoothie zenye ubora kwa kujali afya ya watumiajii,wale wa detoxing,weightloss na kadhalika tupo kwajil yenu karibuni sana _Juice Bar
|
|
Tunaagiza magari toka Japan/Dubai/UK call/whatsapp 255716384958
|
|
|
|
|
Ukinunua ngua kuanzia tatu ndani ya dar unaletewa ulipo buree
|
|
Ndani ya dar esalam ukinunua nguo kuanzia tatu tunakuletea ulipo bureeeee
|
|
Karibuni Dagaa wa mwanza watamu sana, wametoka ziwani na kukaangwa, unawala kwa ugali, wali hata kuwatafuna tu, nauza kwa package 3000 ila ukihitaji kwa ujazo wa kilo unapimiwa pia karibun sana, unaletewaa popote usafiri unalipia
|
|
taa ya IST upande wa kulia ina creck kidogo sana bei ni sh.50000 simu 0769487891 mbezi dar es salaam
|
|
Amra products ni wauzaji na wasambazaji wa sabuni za kuogea zisizo na kemikali zinazotumia matunda mbegu na mimea ni sabuni zinazolinda ngozi kwa afya na maendeleo mazuri ya ngozi yako dhidi ya magonjwa ya ngozi
|
|
feeding nighties / Dera special kwa ajili ya feeding ina zip na buttons
|
|
feeding nighties / Dera special kwa ajili ya feeding ina zip na buttons
|
|
karibuni sana kwa kazi nzuri Kama hii kwa bei lafikii
|
|
vimebaki viwanja 9 tu. Wahi Sasa uweze kujipatia chako. Bei Ni 17,500/= Wastani wa mil 7+ kwa kiwanja. Malipo yanafanyika ndani ya Miezi 6 baada ya kutangaliza 25%e
|
|
Shaza original kutoka Burundi . @ tsh 1,500/. Napatikana Temeke 0712 83071
|
|
Njoo tukurudishie chombo chakoo 0654339459, 0714685535
|
|
Karibu tukurudishie gar yako kama muonekano wake wa mwanzo 0654339459, 0714685535
|
|
|
MAFUNDI BODy RANGI NA KUNYOOSHA GARl NA MAFUNDI UMEME diagnosis NA AC N.K.
Est: 2015
- 6/7/2021 3:49:11 PM
kwamasiriano 0717035247=0746667199
|
|
MAFUNDI BODy RANGI NA KUNYOOSHA GARl NA MAFUNDI UMEME diagnosis NA AC N.K.
Est: 2015
- 6/7/2021 3:48:20 PM
kwamasiriano 0717035247=0746667199
|
|
We issue motor insurance within 5 minutes after you’ve paid your premium. This includes motor vehicles, try cycles and motorcycles
|
|
Samsung Galaxy on 7 mpya kwa bei nafuu sana. Tunafanya delivery Tanzania nzima na nje ya nchi. tupo kariakoo China plaza. mawasiliano 0747608141
|
|
|
|
tunapatikana keko furniture contact 0759250735
|
|
|
250000 usafiri bure kwa dar es salaam, tupigie 0656005004, inst account yetu ni Dar_furnituresofficial
|
|
kitanda 5kwa6, bei yake 250000+ usafiri bure kwa dar es salaam, tupo ubungo maziwa, namba zetu ni 0656005004
|
|
Karibu Sana, Ofisi zetu ziko mbezi kwa msuguri. Tunauza viwanja vizuri vilivyopimwa. Tunafanya kazi kila Siku. Ukianza Safari ya kuja tujulishe. Garama ya kupelekwa site ni elfu kumi tuu.0659 972868/ 0759 461893
|
|
karibuni sana kwa furniture nzuri na kisasa kwa bei poa na rahisi sana penda nyumba yako Leo weka orda yako leo
|