Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business
|
new car hipo vizuri kabisa kalibun sana au nichek kupitia namba yangu ya 0654015782 bei mil 19 kalibun sana
|
|
OG_SHADES inakuletea miwani bomba kabisa kwa bei nafuu tu pendeza nasi kwa -SUN GLASS -FRAME KWA AJILI YA RENS TUNAFANYA DERIVERY 2000/= KWA DAR ES SALAAM MIKOANI TUNATUMA PIA MAWASILIANO- 0787207632 CALL/WHATSAPP
|
|
|
|
|
|
Pata jeans kalii kwa bei nafuu namba ya simu 0766850352
|
|
Form six tishet saizi zotee kwa bei sawa na buree kwa wahitaji wasiliana nasii kweny simu 0766850352
|
|
Pia kuna na mashart ya mikono mirefu kwa beii nafuu sana kwa maelezo zaidi wasiliana nasii 0766850352
|
|
Pata staff jeans kalii kwa bei ya 21000 but jumla tunafanya discount namba 0766850352
|
|
Pata mashati ya mikono mifupi saizi zote kwa bei nafuu kabsaa kwa maelezo zaidi wasiliana nasii kweny simu 0766850352
|
|
Pata t-shirt kwa bei poa kabsaa kwa shilling 15000 namba0766850352 kumbuka ukichukua jumla tunafanya discount
|
|
Biriani ng’ombe na kuku alhamisi hii..Bei ni 5000/= ng’ombe 7000/= kuku Piga simu 0689754729 kuweka oda yako mapema kabla ya alhamis kwa week hii Tunafanya delivery na kukuletea popote ulipo Dar Karibuni sana!
|
|
karibu ujipatie kekii nzuri laini na tamu sanaa nitafute kwa. namba 0765291807
|
|
karibu ujipatie kekii tamu na nzuri lain kabisa nutafute kwa namba 0765291807
|
|
kwa mahitaji ya bajaji magari nyumba ambazo ni used kalibun sana tunapatikana ubungo au piga simu kupitia namba hii 0654015782
|
|
nyumba hiyo inauzwa inavyumba 3 kimoja master seble dining room na pablick toilet naitaji mil 38 nyumba inafrem moja kwa mbele nipo Chanika masantula kalibun sana au nichek kupitia namba hiyo 0654015782
|
|
Beg Kali za Mtumba zinapatikana sehemu moja tu..Fika dukani kwetu Mwenge uje kujionea Kwa macho.. KARIBUNI SANA.
|
|
kabati ya nguo ya milango minne kama inavyoonekana ni nzuri sana Bei yake 1100,000/=
|
|
kitchen cabinets tunapima kwa square mitre hardwood square mitre moja 1200,000/ full na Mable yake softwood square mitre moja 950,000/=
|
|
sofa set full set inakuwa ya watu 7 YANI 3+2+1+1 Bei yake 1800,000/=
|
|
|
Tv showcase ya kisasa.. Bei yake 750,000/= coffee table 400,000/=
|
|
meza ya chakula ya viti sita.. ya mbao ngumu (mkongo au mninga) 1600,000/= ya softwood 1100,000/=
|
|
|
sofa ya L yenye muonekano mzuri wa kupendezesha seble yako..ina siti za kukalia 7 Bei yake ni 950,000/=
|
|
kitanda sita kwa sita full kitanda na droo zake mbili Bei 1200,000/= bila droo side 900,000/=
|
|
kitanda kizuri cha sofa kama kinavyoonekana, kinapatikana kwa ukubwa wote YANI 6
|
|
sofa ya a kisasa.. seti yake inakuwa ya watu 7 YANI 3+2+1+1 Bei yake ni 2,700,000/= kwa full set
|
|
meza ya chakula ya viti nane.. imeundwa kwa mbao,na viti vimechanganywa mbao, godoro na kitambaa.. meza ni nzuri kama inavyoonekana
|
|
Tunauza na kubandika wallpaper WALLPAPER 20000 Ufundi 15,000 kwa roll GUNDI 10000 INABANDIKA ROLA 3 #TUNAFIKA ULIPO NDANI YA DSM WALLPAPER BILA FUNDI NI 30000 kwa kila roll #0744255178 ? whatsapp
|
|
Toyota coaster on sale engine 1HDT Bei mil.73 WhatsApp 0653489299
|
|
Toyota RAV4 Ina sunroof Bei mil 20.5 WhatsApp number 0653489299
|
|
Kali ujipatie gali Kali Bei powa kabisa, WhatsApp number 0653489299
|
|
karibun kwa pompom stick kwa sh 5000 tu zikiwa 7 kama unavyoziona hapo hupendezesha nyumba yako na ofisi yako na kufanya pawe tofaut na pakuvutia wasiliana nas kwa sim no 0752058898 unaweza pia tuwasap kwa no hio hio karibun sana
|
|
stick paperflowers ndo hizo na vase yake kwa gharama ya sh 1000 stick paperflowers na hiyo vase yake ni sh 3000 tu ambayo pia tunatengeneza kwa kutumia paper (manila) karibun sana wapendwa wangu call/whatsp no 0752058898
|
|
karibun kwa mapambo ya ndan yaan paperflowers ambayo hupendezesha mahala popote pale ....iwe una shughuli yoyote ama unataka kupendezesha nyumba yako , ofisin,kwa dressing table pale kwa juu, salon na kwa wale pia wa kufanya makeaup majumban pia inawahusu tunabandika kama wallpaper na kufanya kupendeze karibun sana wasiliana nas kwa no 0752058898 tu Call/whatsp
|
|
hellow wapendwa karibun kwa stick paperflowers kwa gharama ya sh 1000 tu na vase yake ni sh 30005000 .....stick paperflowers tunatengeneza kwa kutumia karatas za manila na hudumu kwa muda mrefu hapo nyumban kwako unapoyaweka ama mahali popote = = contact no 0752058898 whatsp / call karibun sana..
|
|
Kwa Mahitaji ya kuku wa kienyeji Wenye Chanjo kwa Ajili ya kufuga na kwa Ajili ya Nyama usisite kututafuta Tunapatikana Tabata- Bima Na Tabata-Baracuda Tupigie Sasa Tukuhudumie kwa Ukaribu. 0768-685395(Whatsaap) Instagram: Pata_kuku_wa_kienyeji Facebook: Pata kuku wa kienyeji
|
|
Karibuni tukupatie mbegu bora za mahindi 0694036646 karibu tukuhudumie.
|