Matangazo mbalimbali ya wafanyabiashara wadogo na wakati Dar
You need to login to be able to post your things about your business


Sofa_kali_furniture Est: 2015 - 3/29/2021 7:25:34 AM
Kitanda kikali Tsh650

Sofa_kali_furniture Est: 2015 - 3/29/2021 7:23:57 AM
Sofa safi Tsh1.7M set

Fruitzone Est: 2019 - 3/29/2021 6:19:54 AM
Tunafanya Delivery free kwa yoyote atakaye Agiza package yoyote Seven days offer only

Amudi furniture Est: 2019 - 3/29/2021 5:27:22 AM
karibu sana 0710940985

Cake Est: 2021 - 3/29/2021 4:52:22 AM
karibu jipatie bidhaa zetu nzuri kwa bei kuanzia elfu tano kwa plate weka order yako 0765291807

Magodoro Est: 2016 - 3/29/2021 1:49:54 AM
Tunauza magodoro ya Aina zote , Spring Orthopedic (wagonjwa wa mgongo) Foam

Ayesher8 Est: 2021 - 3/28/2021 3:21:42 PM
mkate wa mchele inapatikana piga simu or whats up 0714675707

Amudi furniture Est: 2019 - 3/27/2021 5:29:51 AM
karibuni amudi furniture 0710940985

MERCYONE ELECTRICS WORKS LTD Est: 2016 - 3/27/2021 5:15:18 AM
Electrical Instillation works kwa Kazi zenye ubora zinazofanywa kwa kuzingatia vipimo Usisite kututafuta mteja kwetu ni mfalme

MERCYONE ELECTRICS WORKS LTD Est: 2016 - 3/27/2021 5:13:37 AM
kwa mifumo Bora ya umeme majumbani na viwandani usisite kututafuta tunatoa ushauri kwa Mteja bila malipo yoyote Kazi zenye ubora zinazofanywa na mafundi makini (professional works)

Car Agents Est: 2010 - 3/26/2021 4:28:54 PM
Price 30.5M Contact/ 0713 580888 Harrier New Model Engine 2AZ Cc 2360 Automatic Petrol Full A/C Dvd player Full Option Sports Rims Imported from Japan Year 2005/6 65,000KM Exchange Allowed Free REGISTRATION Location Dar es salaam

Aza Book Shop Est: 2011 - 3/26/2021 2:19:23 AM
Vitabu vinapatikana kwa Bei punguzo.

chid decoration desgner Est: 2019 - 3/25/2021 6:20:23 PM
Habari Tanzania,niwalewale Mafundi Waliobibea ktk kazi hizi Usisumbuke walakuhangaika kwakutafuta Mafundi wasiokuwa wajuzi na kazi hizi Tunahusika na gypsum board decoration,Sikiming,brandaling,Rangi n.k Kwabei Nafuu Tupigie 0789974091 WhatsApp 0789974091 Tupo jijini Dar es Salaam, Tanzania Popote tunafika na Mkoani tunafika

chid decoration desgner Est: 2019 - 3/25/2021 6:15:07 PM
Habari Tanzania,niwalewale Mafundi Waliobibea ktk kazi hizi Usisumbuke walakuhangaika kwakutafuta Mafundi wasiokuwa wajuzi na kazi hizi Tunahusika na gypsum board decoration,Sikiming,brandaling,Rangi n.k Kwabei Nafuu Tupigie 0789974091 WhatsApp 0789974091 Tupo jijini Dar es Salaam, Tanzania Popote tunafika na Mkoani tunafika

BF SUMA PRODUCT Est: 2013 - 3/25/2021 4:57:26 PM
Kampuni ya *BF SUMA* ni kampuni ya kimarekani inayojihusisha na *Utafiti,uzalishaji na usambazaji wa bidhaa za chakula lishe duniani* *BF SUMA* ni kifupi cha maneno yafuatayo *BFSUMA NI?* B- BRIGHT F- FUTURE S- SUPERIOR U- UNIQUE M- MANUFACTURE OF A- AMERICA. *KWA KISWAHILI?* Ni kesho inayongaa kutokana na watengenezaji wa kipekee wa Marekani Kwa nini ni wa kipekee?? Hii ni kutokana na ubora wa bidhaa zake na masharti nafuu KTK kupata bidhaa. Mtu yoyote anaweza kutumia bidhaa za kampuni hii na kupata matokeo chanya. Kwa nini kesho inayongaa??? Hii ni kutokana na mfumo wa biashara ulovyowekwa na kampuni na kuwezesha muuzaji kujipatia faida zaidi ya 7 hivyo kuwa na maisha angavu/ yanayongaa kwa kuwa na kipato endelevu, Tutaona huko mbele? *ILIANZA LINI?* Ilianza mwaka 1993 huko *Marekani* *HAPA TANZANIA ILIFIKA LINI??* Hapa Tanzania ilifika 2012 leo miaka 8 lakini tutaona namna watu walivyobadili maisha kwa maiaka 5 tu *OFISI AFRIKA ZIKO WAPI?* Ofisi Afrika zipo GHANA,CHAD,KENYA, NIGERIA,UGANDA, NAMIBIA,ZIMBABWE, AFRIKA YA KUSINI, CONGO,ZAMBIA,MALAWI SUDAN NA HAPA TANZANIA *OFISI ZA BF SUMA TANZANIA ZIPO WAPI?* Hapa Tanzania ofisi zipo Dar es salaam ( mlimani city ndio makao makuu ya kampuni ) Ubungo, Mbeya, Iringa, Dodoma, Arusha, Tabora, Manyoni, Shinyanga, Kahama, Bukoba,Mwanza na Ngara Kampuni ina malengo makubwa mawili *1.Kuboresha uchumi na kuwa na kipato endelevu* 2. *Kuboresha afya* Kwa nini afya? Kwa sababu palipo na uzima yote huwezekana, huwezi ukawa na pesa huku uko unaumwa au ukawa mzima pesa huna dunia ya sasa ukiwa na pesa,afya na Mungu ,hakika wewe ni mfalme duniani. Hiyo ndiyo maana fupi ya kampuni yetu ya *BFSUMA*. *JE UNATAKA KUJUA NAMNA GANI KAMPUNI INAJIHUSISHA NA AFYA NA KUINUA VIPATO VYA WATU...? ENDELEA KUFUATILIA SOMO HILI HAPO CHINI* Kwa upande wa Afya Kampuni ya *BF SUMA* inazalisha *virutubisho lishe (Food Supplement)* kwa ajili ya kuzuia na kutibu Maradhi tofauti tofauti ndani ya Mwili wa Mwanadamu *MIFUMO YA MWILI AMBAYO KAMPUNI INAZALISHA VIRUTUBISHO* *?* *MFUMO WA MIFUPA NA JOINTS* Hapa huzalisha VIRUTUBISHO vinavyohusika na kuhakikisha Mifupa inakuwa katika hali nzuri wakati wote yaani kuzuia na kutibu Maumivu ya mifupa,kiuno,mgongo na kwenye Joints. ? *MFUMO WA UZAZI* Hapa kampuni inazalisha bidhaa ambazo zitamsaidia *Mwanaume* Na *Mwanamke* katika mfumo mzima wa uzazi Kwa upande wa Mwanaume inamsaidia kuepukana na maradhi tofauti tofauti kwenye uzazi kama vile nguvu za kiume,Ngiri,Tezi dume na kwa upande wa Mwanamke hapa kampuni imejikita katika kuzalisha bidhaa ambazo zitamsaidia kuponywa na kuzuia U.T.I sugu, Fungas,Harufu,Miwasho ? *MFUMO WA KINGA ZA MWILI* Hapa kampuni imejikita kuzalisha bidhaa ambazo zinaenda kuongeza na kuzipa nguvu kinga za mwili ? *MFUMO WA USAFI* Hapa kampuni inajihusisha na uzalishaji wa bidhaa zitakazo kufanya uonekane katika uasilia wako hususani katika ngozi na kinywa. Pia Mifumo Mingine ambayo kampuni inazalisha bidhaa ni ➡ *MFUMO WA MMENGENYO WA CHAKULA* ➡ *MFUMO WA DAMU NA UBONGO* Hizo hapo juu ni Baadhi ya Mifumo ambayo kampuni inazalisha hapa ni katika Kipengele cha Afya. Kwa upande wa *KIPATO* Kampuni inahitaji *Mawakala* ambao watakuwa wanafanya kazi pamoja na Kampuni. *WAKALA ATAPATA FAIDA ZIFUATAZO* ➡ *FAIDA ZA REJA REJA ZOTE NI ZAKE* ➡ *MALIPO YA KILA MWISHO WA MWEZI KULINGA NA KAZI YAKE KUTOKA KWENYE KAMPUNI* ➡ *ZAWADI ZA KILA MWAKA KAMA* *#* Safari za kwenda Marekani,China,Dubai na kwingine kwingi kujifunza na kutalii. *#* Magari (Kwa Tanzania sasa imekwisha Toa magari 22 kwa washindi. *#* Nyumba (Nyumba hutolewa ukifika ngazi ya 11 na 12 kwa sababu kampuni ina vyeo vyake 12 kwa mawakala wake) Pia kuna promotion mbalimbali zinazotolewa ndani ya kampuni. Licha ya hivyo kampuni inatoa Mafunzo bure kwa kila wakala wake. *Malipo* *JE HAYA MALIPO YANATOKEA WAPI...?* Katika kila bidhaa ambayo kampuni inazalisha, kampuni imeweka *POINTS* . Hizi points ndizo zinazo tumika kuhesabiwa kila mwisho wa mwezi na mwaka ili mtu aweze lipwa na kampuni pia uweze pata zawadi za kila mwisho wa mwaka. Hivyo basi kampuni kwa kuthamini Mawakala wake ikaonelea vyema ili kila wakala alipwe pesa nyingi ikaruhusu wakala kutafuta mawakala wengine watano watakao jiunga kwa jina lake ambapo sasa huyu aliyetafuta mawakala hao watano naye atakuwa anapata *FAIDA* kutoka kwa wale mawakala kwa mfano wewe umefanya points 100 kwa mwezi na wale wengine wamefanya points 100 kila mmoja kwa maana kuwa wale watano kwa pamoja watakuwa wamezalisha points 500 ukijumlisha na za kwako zitakuwa points 600 hivyo basi kwa mwezi husika hutolipwa kwa pointi 100 ulizo Fanya Bali utalipwa kwa points 600 ukijumlisha na za wale mawakala uliowafanya wawepo kwenye kampuni vivyo hivyo zawadi za kila mwaka pia zinatolewa kulingana na points ambazo umezifanya wewe na mawakala uliowaleta ndani ya kampuni na mawakala walioletwa na mawakala uliowaleta. Hivyo basi unapokuwa na points nyingi kila mwisho wa mwez

khyrah_collection Est: 2017 - 3/25/2021 1:08:21 PM
kwa mahitaji ya vifaa vya electronics tv ,radio .friji .food processor, kettle no 0655297947 watsup /call

trademark aluminium co.ltd Est: 2020 - 3/25/2021 10:47:40 AM
milango ya chooni tunakutengenezea kwa Bei rais kabixa na kufungiwa kwa huduma Zaid wasiliana nasi 0657255970

trademark aluminium co.ltd Est: 2020 - 3/25/2021 10:45:39 AM
tengeneza kwa Bei nafuu na nyumba yako inapendezaa karibu tukuhudumie kwa maelezo zaidi wasiliana nasi 0657255970 popote pale ulipo

BF SUMA PRODUCT Est: 2013 - 3/25/2021 9:43:41 AM
Jipatie dawa ya meno bila kungoa, fanya meno yako yangae kwa dawa hii toka BF SUMA PRODUCT dawa hii Inauzwa 20,000/= kipindi hiki cha offa tutakuuzia kwa 18,000/= Wahii mapema kabla offa hii haijaisha

BF SUMA PRODUCT Est: 2013 - 3/25/2021 9:38:24 AM
Mwezi huu wa tatu na mwezi wa nne tunatoa punguzo la asilimia 20% kwa bidha zetu wahi sasa ili usipitwe na huduma bora na upate matibabu ya uhakika ili kumaliza tatizo ulilo nalo

Internet & Solar solutions Est: 2020 - 3/25/2021 9:17:14 AM
<

Internet & Solar solutions Est: 2020 - 3/25/2021 9:16:25 AM
<

Internet & Solar solutions Est: 2020 - 3/25/2021 9:15:37 AM
<

furniture Est: 2010 - 3/25/2021 2:43:52 AM
karibuni sana 0624001754

Ayesher8 Est: 2021 - 3/24/2021 4:36:29 PM
frozen samosa zinapatikana test yakipekee

21SmartStore Est: 2021 - 3/24/2021 8:46:35 AM
Karibu 21SmartStore ujipatie samsung mpya kabisa na kwa bei nafuu simu zetu ni original kutoka UK

FedEx Express Tanzania Est: 2018 - 3/24/2021 7:53:39 AM
FedEx Express Tanzania karibu tukuhudumie kwa huduma za usafirishaji wa mizigo popote duniani. Tunafanya pickup na express door to door deliveries na pia tunafanya customs clearance. Bei zetu ni nafuu na za uhakika. Kwa mawasiliano tupigie sim namba 0657844098. Karibuni sana.

mmarekani _ shop Est: 2021 - 3/24/2021 5:14:27 AM
KARIBUNI WOTE MMAREKAN SHOP JIPATIE NGUO KWA BEI KITONGA DERIVERY IPO DSM NA MIKOANI 20000 JUMLA REJA REJA 25000

Happy Times Beauty Affairs Est: 2020 - 3/24/2021 4:47:29 AM
Tuna suka knotless kwa elfu 35 Kila kitu kwetu. Tupo Makumbusho bus stand . Ukifika Kituo cha mabus tupigie tuje kukupokea 0754455955

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 9:55:15 AM
18000 tupo kariakoo tucheki watsap no.0694342379

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 9:51:31 AM
20000 tupo kariakoo tucheki =G watsap no 0694342379

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 9:50:12 AM
22000 tupo kariakoo tunauza jumla na rejareja tucheki watsap no.0694342379

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 9:47:35 AM
30000 tupo kariakoo mtaa wa kongo tucheki watsap no.0694342379

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 9:46:18 AM
sh.30000 tunapatikana kariakoo tucheki watsap no.0694342379

IZZOBOY2FASHION Est: 2010 - 3/23/2021 6:23:32 AM
18000rejareja jumla 13000 tupo kariakoo mtaa wa kongo mawaliano 0694342379 watsap

VITANDA VYA CHUMA Est: 2017 - 3/23/2021 6:08:53 AM
haya Sasa kitanda Cha chuma hichi hapa size 5*6 unapata kwa tsh 250000 tu. nipigie 0653 155056. karibuni sana. nipo kinondoni manyanya jirani na kinondoni Muslim

VITANDA VYA CHUMA Est: 2017 - 3/23/2021 5:50:35 AM
kitanda imara Cha chuma. size 5*6 tsh 250000 size 6*6 tsh 280000 wahi Leo uweke order yako. 0653 155056. nipo kinondoni manyanya jirani na kinondoni Muslim.

VITANDA VYA CHUMA Est: 2017 - 3/23/2021 5:45:13 AM
kitanda double decker Cha kisasa kwa matumizi ya familia yako. juu 4*6 chini 5*6 tsh 400000 tu. nipigie 0653 155056 WAHI LEO UWEKE ORDER YAKO

VITANDA VYA CHUMA Est: 2017 - 3/23/2021 5:31:54 AM
natengeneza vitanda vya chuma kwa gharama nafuu sana. size 5*6 tsh 250000 size 6*6 tsh 280000 double decker Bei inaanzia tsh 400000. namba yangu ni 0653 155056/ 0765 268903

Ayesher8 Est: 2021 - 3/23/2021 4:40:32 AM
kwa keki taam zenye test ya kipekee piga simu kupata huduma 0767675769